Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Mkuu. Machame siku hizi ni zaidi ya Sumbawanga,
mwanzoni mwa mwaka huu kuna mama mmoja tena ambaye ni mkwe wa rafiki yangu alikamatwa na fuvu la binadamu ndani ya nyumba yake huko maeneo ya Kisereni..
kwa hiyo kilichokuwa kinahitajika ni fuvu tu ili kuizidi Sumbawanga.