HKigwangalla
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 717
- 971
- Thread starter
- #21
Ni kweli, ni hatari sana kwa sababu mimi ni mkweli na muwazi, na watu kama wewe wamezoea wanasiasa waongo!Kigwangala, wanasiasa wa aina yako ni hatari sana kwa nchi kama yetu hii