Kigwangalla: Nitawajibika lakini ukweli ni kuwa Mifumo yetu nchini ni dhaifu

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,377
8,121
Mjadala wa kitaifa usingepaswa kuwa Dr. Hamisi Kigwangalla amekosea, atoe ushahidi, ataje, hakupaswa kusema alichosema, ana wivu kwa kuwa yeye yuko benchi etc, bali je alichosema ni uongo ama ukweli; kama ni ukweli tunafanyaje ili kudhibiti?

Badala ya kunyoosheana kidole, ama kutaka umbeya ni nani na nani anamiliki nini na nini, kama ambavyo watanzania tunapenda, ama nani awajibike atolewe cheo, tungefikiria na kutazama mbele zaidi kuwa tufanye nini kudhibiti?

Kama alivyosema Mzee Bagonza, ni kweli mimi siyo mwanasiasa mdogo, na pamoja na kunitukana kwake (najua kwa nia ya kutaka aidha mimi binafsi nitaje ama vyombo vya umma vinilazimishe kutaja) na kuwa kama nilikuwa nafanya mzaha, basi afya yangu ya akili inapaswa kutiliwa shaka! 😀

I won’t yield to his pressure, kwa sababu ya ukubwa wangu kisiasa. Kwa nilipofikia sitafuti umaarufu wa jina langu binafsi kisiasa wala cheo tena, na sina adui wa kumuanzishia vita ya kisiasa! NATAKA TUREKEBISHE MIFUMO NA TAASISI ili tuwaachie watoto wetu nchi salama, yenye usawa, yenye haki, yenye uwazi, yenye mifumo na taasisi imara za kisiasa, za kiuchumi/kifedha na kisheria. Hii ndiyo ndoto yangu kubwa kwa sasa.

Ningekuwa na shida hiyo ningeongea bungeni ambapo najua nina kinga. Ama ningewapa wabunge walipue mabomu bungeni. Ama ningeweza kupeleka umbeya kwenye mitandao.

Vyombo vya kisheria leo hii vinaweza kutumia mamlaka yake kunitaka nitaje la sivyo nichukuliwe hatua; najua nikichagua kutotaja, nitachukuliwa hatua za kisheria, nitawajibika! Lakini haitoondoa ukweli wa udhaifu wa mifumo yetu.

Mengi ya ninayoyajua yamo kwenye taarifa ya CAG, Bungeni etc., kwani hakuna anayeona viashiria vya uwepo wa rushwa, ubadhirifu na matumizi mabaya ya ofisi za umma?

Mfano akitokea mtu akaamua kutaja, atakuwa salama? Vyombo vyetu vya uwajibikaji watapata ushahidi? Kuna kitu hakiko sawa, na kwa hakika siyo mimi, ni mfumo/muundo wetu wa kitaasisi! Hautoi fursa ya wabadhirifu kuchukuliwa hatua kirahisi. We need reforms.

#HK #Fighter #NjeYaBox
 
nakubaliana na kingwangala, tatizo watanzania hawataki mtu radical, asiye badirika, ukitoa msimamo tofauti na waliozoea wanasema unasema kwa sababu haupo kwenye mfumo. Nyerere alifuta vyama vingi lakini baadae akaupigia chapuo mfumo wa vyama vingi je ni kwasababu hakuwa rais? mbona hakutukana. HK ni msomi na sifa ya msomi ni kubadiri misimamo kuendana na wakati uliopo, miaka ya nyuma suala la mtoto kurudi shule baada ya kujifungua tuliona halifai lakini miaka ya 2020s tumeona kurudi mtoto wa kike darasana baada ya kujifungua ni suala jema. HK ametimiza wajibu wake wanaotaka asiwe radical et kwa sababu ya aliyowahi kusema ama kufanya nyuma wajitafakari upya.
 
Mjadala wa kitaifa usingepaswa kuwa Dr. Hamisi Kigwangalla amekosea, atoe ushahidi, ataje, hakupaswa kusema alichosema, ana wivu kwa kuwa yeye yuko benchi etc, bali je alichosema ni uongo ama ukweli; kama ni ukweli tunafanyaje ili kudhibiti?

Badala ya kunyoosheana kidole, ama kutaka umbeya ni nani na nani anamiliki nini na nini, kama ambavyo watanzania tunapenda, ama nani awajibike atolewe cheo, tungefikiria na kutazama mbele zaidi kuwa tufanye nini kudhibiti?

Kama alivyosema Mzee Bagonza, ni kweli mimi siyo mwanasiasa mdogo, na pamoja na kunitukana kwake (najua kwa nia ya kutaka aidha mimi binafsi nitaje ama vyombo vya umma vinilazimishe kutaja) na kuwa kama nilikuwa nafanya mzaha, basi afya yangu ya akili inapaswa kutiliwa shaka!

I won’t yield to his pressure, kwa sababu ya ukubwa wangu kisiasa. Kwa nilipofikia sitafuti umaarufu wa jina langu binafsi kisiasa wala cheo tena, na sina adui wa kumuanzishia vita ya kisiasa! NATAKA TUREKEBISHE MIFUMO NA TAASISI ili tuwaachie watoto wetu nchi salama, yenye usawa, yenye haki, yenye uwazi, yenye mifumo na taasisi imara za kisiasa, za kiuchumi/kifedha na kisheria. Hii ndiyo ndoto yangu kubwa kwa sasa.

Ningekuwa na shida hiyo ningeongea bungeni ambapo najua nina kinga. Ama ningewapa wabunge walipue mabomu bungeni. Ama ningeweza kupeleka umbeya kwenye mitandao.

Vyombo vya kisheria leo hii vinaweza kutumia mamlaka yake kunitaka nitaje la sivyo nichukuliwe hatua; najua nikichagua kutotaja, nitachukuliwa hatua za kisheria, nitawajibika! Lakini haitoondoa ukweli wa udhaifu wa mifumo yetu.

Mengi ya ninayoyajua yamo kwenye taarifa ya CAG, Bungeni etc., kwani hakuna anayeona viashiria vya uwepo wa rushwa, ubadhirifu na matumizi mabaya ya ofisi za umma?

Mfano akitokea mtu akaamua kutaja, atakuwa salama? Vyombo vyetu vya uwajibikaji watapata ushahidi? Kuna kitu hakiko sawa, na kwa hakika siyo mimi, ni mfumo/muundo wetu wa kitaasisi! Hautoi fursa ya wabadhirifu kuchukuliwa hatua kirahisi. We need reforms.

#HK #Fighter #NjeYaBox
Ukweli ukasemwe tuu hamna jinsi.
Viongozi wetu wa CCM wanatuyumbisha na niwezi na wapiga dili Ile mbaya.
Hivyo akitokea msema ukweli inawauma.
Ndio taratibu za ukiwa CCK akili na ubongo unatoka.
 
Mjadala wa kitaifa usingepaswa kuwa Dr. Hamisi Kigwangalla amekosea, atoe ushahidi, ataje, hakupaswa kusema alichosema, ana wivu kwa kuwa yeye yuko benchi etc, bali je alichosema ni uongo ama ukweli; kama ni ukweli tunafanyaje ili kudhibiti?

Badala ya kunyoosheana kidole, ama kutaka umbeya ni nani na nani anamiliki nini na nini, kama ambavyo watanzania tunapenda, ama nani awajibike atolewe cheo, tungefikiria na kutazama mbele zaidi kuwa tufanye nini kudhibiti?

Kama alivyosema Mzee Bagonza, ni kweli mimi siyo mwanasiasa mdogo, na pamoja na kunitukana kwake (najua kwa nia ya kutaka aidha mimi binafsi nitaje ama vyombo vya umma vinilazimishe kutaja) na kuwa kama nilikuwa nafanya mzaha, basi afya yangu ya akili inapaswa kutiliwa shaka!

I won’t yield to his pressure, kwa sababu ya ukubwa wangu kisiasa. Kwa nilipofikia sitafuti umaarufu wa jina langu binafsi kisiasa wala cheo tena, na sina adui wa kumuanzishia vita ya kisiasa! NATAKA TUREKEBISHE MIFUMO NA TAASISI ili tuwaachie watoto wetu nchi salama, yenye usawa, yenye haki, yenye uwazi, yenye mifumo na taasisi imara za kisiasa, za kiuchumi/kifedha na kisheria. Hii ndiyo ndoto yangu kubwa kwa sasa.

Ningekuwa na shida hiyo ningeongea bungeni ambapo najua nina kinga. Ama ningewapa wabunge walipue mabomu bungeni. Ama ningeweza kupeleka umbeya kwenye mitandao.

Vyombo vya kisheria leo hii vinaweza kutumia mamlaka yake kunitaka nitaje la sivyo nichukuliwe hatua; najua nikichagua kutotaja, nitachukuliwa hatua za kisheria, nitawajibika! Lakini haitoondoa ukweli wa udhaifu wa mifumo yetu.

Mengi ya ninayoyajua yamo kwenye taarifa ya CAG, Bungeni etc., kwani hakuna anayeona viashiria vya uwepo wa rushwa, ubadhirifu na matumizi mabaya ya ofisi za umma?

Mfano akitokea mtu akaamua kutaja, atakuwa salama? Vyombo vyetu vya uwajibikaji watapata ushahidi? Kuna kitu hakiko sawa, na kwa hakika siyo mimi, ni mfumo/muundo wetu wa kitaasisi! Hautoi fursa ya wabadhirifu kuchukuliwa hatua kirahisi. We need reforms.

#HK #Fighter #NjeYaBox
CCM imegeuka kikundi cha watu wachache wanaotumia madaraka kwa manufaa binafsi. Madaraka ambayo of course hayatoki kwa wananchi kwa sababu ya mifumo ya ovyo ya siasa waliyoiweka. HK yuko sahihi kabisa hisipokuwa amekuwa mnufaika wa mifumo hii na anakosa credibility ya kuikosoa kwa kuwa hapo nyuma amekuwa mtetezi wa hii mifumo.

Pamoja na kwamba zipo taasisi na vyombo vya kusimamia yote aliyoyataja lakini vyote vimemezwa. Kama bunge lenyewe ambalo HK ni mmojawapo, linashindwa kutimiza wajibu wake kwa kusimama na wananchi alikadhalika mahakama zetu, itakuwaje raisi kwa TAKUKURU kwa mfano?

Ni raisi kuyaona haya ukiwa nje ya system.
 
Mjadala wa kitaifa usingepaswa kuwa Dr. Hamisi Kigwangalla amekosea, atoe ushahidi, ataje, hakupaswa kusema alichosema, ana wivu kwa kuwa yeye yuko benchi etc, bali je alichosema ni uongo ama ukweli; kama ni ukweli tunafanyaje ili kudhibiti?

Badala ya kunyoosheana kidole, ama kutaka umbeya ni nani na nani anamiliki nini na nini, kama ambavyo watanzania tunapenda, ama nani awajibike atolewe cheo, tungefikiria na kutazama mbele zaidi kuwa tufanye nini kudhibiti?

Kama alivyosema Mzee Bagonza, ni kweli mimi siyo mwanasiasa mdogo, na pamoja na kunitukana kwake (najua kwa nia ya kutaka aidha mimi binafsi nitaje ama vyombo vya umma vinilazimishe kutaja) na kuwa kama nilikuwa nafanya mzaha, basi afya yangu ya akili inapaswa kutiliwa shaka! 😀

I won’t yield to his pressure, kwa sababu ya ukubwa wangu kisiasa. Kwa nilipofikia sitafuti umaarufu wa jina langu binafsi kisiasa wala cheo tena, na sina adui wa kumuanzishia vita ya kisiasa! NATAKA TUREKEBISHE MIFUMO NA TAASISI ili tuwaachie watoto wetu nchi salama, yenye usawa, yenye haki, yenye uwazi, yenye mifumo na taasisi imara za kisiasa, za kiuchumi/kifedha na kisheria. Hii ndiyo ndoto yangu kubwa kwa sasa.

Ningekuwa na shida hiyo ningeongea bungeni ambapo najua nina kinga. Ama ningewapa wabunge walipue mabomu bungeni. Ama ningeweza kupeleka umbeya kwenye mitandao.

Vyombo vya kisheria leo hii vinaweza kutumia mamlaka yake kunitaka nitaje la sivyo nichukuliwe hatua; najua nikichagua kutotaja, nitachukuliwa hatua za kisheria, nitawajibika! Lakini haitoondoa ukweli wa udhaifu wa mifumo yetu.

Mengi ya ninayoyajua yamo kwenye taarifa ya CAG, Bungeni etc., kwani hakuna anayeona viashiria vya uwepo wa rushwa, ubadhirifu na matumizi mabaya ya ofisi za umma?

Mfano akitokea mtu akaamua kutaja, atakuwa salama? Vyombo vyetu vya uwajibikaji watapata ushahidi? Kuna kitu hakiko sawa, na kwa hakika siyo mimi, ni mfumo/muundo wetu wa kitaasisi! Hautoi fursa ya wabadhirifu kuchukuliwa hatua kirahisi. We need reforms.

#HK #Fighter #NjeYaBox
Mkulungwa one
 
Kigwa kwa hili naunga mkono huko tunapoenda nchi itakuwa walafi wa mali zaidi kuliko sasa, ngoja tulindane huku tukitengeneza bomu lije kulipuka mbele ya safari.

Yule Mr Ihefu dhahiri shahiri na hamna kificho ni mpigaji, analindwa na nani?
 
HK wapenda haki tupo nyuma yako .hawa wakora mpaka maji wayaite mma .kila nikikuona nakumbuka hii kauli. KADCO NI YA SERIKALI AMA SI YA SERIKALI. on HK voice. Watanzania wamekuwa viumbe special kila kitu it's ok to them.
 
Mjadala wa kitaifa usingepaswa kuwa Dr. Hamisi Kigwangalla amekosea, atoe ushahidi, ataje, hakupaswa kusema alichosema, ana wivu kwa kuwa yeye yuko benchi etc, bali je alichosema ni uongo ama ukweli; kama ni ukweli tunafanyaje ili kudhibiti?

Badala ya kunyoosheana kidole, ama kutaka umbeya ni nani na nani anamiliki nini na nini, kama ambavyo watanzania tunapenda, ama nani awajibike atolewe cheo, tungefikiria na kutazama mbele zaidi kuwa tufanye nini kudhibiti?

Kama alivyosema Mzee Bagonza, ni kweli mimi siyo mwanasiasa mdogo, na pamoja na kunitukana kwake (najua kwa nia ya kutaka aidha mimi binafsi nitaje ama vyombo vya umma vinilazimishe kutaja) na kuwa kama nilikuwa nafanya mzaha, basi afya yangu ya akili inapaswa kutiliwa shaka! 😀

I won’t yield to his pressure, kwa sababu ya ukubwa wangu kisiasa. Kwa nilipofikia sitafuti umaarufu wa jina langu binafsi kisiasa wala cheo tena, na sina adui wa kumuanzishia vita ya kisiasa! NATAKA TUREKEBISHE MIFUMO NA TAASISI ili tuwaachie watoto wetu nchi salama, yenye usawa, yenye haki, yenye uwazi, yenye mifumo na taasisi imara za kisiasa, za kiuchumi/kifedha na kisheria. Hii ndiyo ndoto yangu kubwa kwa sasa.

Ningekuwa na shida hiyo ningeongea bungeni ambapo najua nina kinga. Ama ningewapa wabunge walipue mabomu bungeni. Ama ningeweza kupeleka umbeya kwenye mitandao.

Vyombo vya kisheria leo hii vinaweza kutumia mamlaka yake kunitaka nitaje la sivyo nichukuliwe hatua; najua nikichagua kutotaja, nitachukuliwa hatua za kisheria, nitawajibika! Lakini haitoondoa ukweli wa udhaifu wa mifumo yetu.

Mengi ya ninayoyajua yamo kwenye taarifa ya CAG, Bungeni etc., kwani hakuna anayeona viashiria vya uwepo wa rushwa, ubadhirifu na matumizi mabaya ya ofisi za umma?

Mfano akitokea mtu akaamua kutaja, atakuwa salama? Vyombo vyetu vya uwajibikaji watapata ushahidi? Kuna kitu hakiko sawa, na kwa hakika siyo mimi, ni mfumo/muundo wetu wa kitaasisi! Hautoi fursa ya wabadhirifu kuchukuliwa hatua kirahisi. We need reforms.

#HK #Fighter #NjeYaBox
Kigwangalla ni TAKATAKA ila huwezi kumjua mpaka u deal naye Moja kwa Moja. Hata Magufuli alipo mpa uwaziri hakujua kwamba amempa mtu BOGUS. Alikuja juwa too late baada ya Kigwangalla kuanza ufisadi kwenye wizara ya utalii.

Mimi ninavyomfahamu Kigwangalla siyo kwamba ni mbunifu bali ni mwepesi wa kuchukua mawazo ya watu wengine na kuyafanya yake kwa kuyapeleka kwenye mamlaka.

Kingine Kigwangalla ana roho ya uthubutu wa kufanya mambo ya kuumiza wengine alimradi yeye aonekane anafanya kazi. Kigwangalla na MAKONDA wako sawa tu ni ma-sadist, ma-snitch na wote wanatumia majina ya FORGERY kwenye ajira. Kigwangalla ni Said Bagaille ndiyo jina lake. Makonda ni Daud Bashite.
 
nakubaliana na kingwangala, tatizo watanzania hawataki mtu radical, asiye badirika, ukitoa msimamo tofauti na waliozoea wanasema unasema kwa sababu haupo kwenye mfumo. Nyerere alifuta vyama vingi lakini baadae akaupigia chapuo mfumo wa vyama vingi je ni kwasababu hakuwa rais? mbona hakutukana. HK ni msomi na sifa ya msomi ni kubadiri misimamo kuendana na wakati uliopo, miaka ya nyuma suala la mtoto kurudi shule baada ya kujifungua tuliona halifai lakini miaka ya 2020s tumeona kurudi mtoto wa kike darasana baada ya kujifungua ni suala jema. HK ametimiza wajibu wake wanaotaka asiwe radical et kwa sababu ya aliyowahi kusema ama kufanya nyuma wajitafakari upya.
Ni kweli lazima tuhoji mbona alikuwa na yy kweny mfumo alifanya nini cha maaana kama kweli analipenda taifa!??? Au anawaonea wivu wenzie??
 
Kigwangalla ni TAKATAKA ila huwezi kumjua mpaka u deal naye Moja kwa Moja. Hata Magufuli alipo mpa uwaziri hakujua kwamba amempa mtu BOGUS. Alikuja juwa too late baada ya Kigwangalla kuanza ufisadi kwenye wizara ya utalii.

Mimi ninavyomfahamu Kigwangalla siyo kwamba ni mbunifu bali ni mwepesi wa kuchukua mawazo ya watu wengine na kuyafanya yake kwa kuyapeleka kwenye mamlaka.

Kingine Kigwangalla ana roho ya uthubutu wa kufanya mambo ya kuumiza wengine alimradi yeye aonekane anafanya kazi. Kigwangalla na MAKONDA wako sawa tu ni ma-sadist, ma-snitch na wote wanatumia majina ya FORGERY kwenye ajira. Kigwangalla ni Said Bagaille ndiyo jina lake. Makonda ni Daud Bashite.
Pengine wewe ambaye sio forgery ni sadist kuliko hao ulivo wataja.
 
nakubaliana na kingwangala, tatizo watanzania hawataki mtu radical, asiye badirika, ukitoa msimamo tofauti na waliozoea wanasema unasema kwa sababu haupo kwenye mfumo. Nyerere alifuta vyama vingi lakini baadae akaupigia chapuo mfumo wa vyama vingi je ni kwasababu hakuwa rais? mbona hakutukana. HK ni msomi na sifa ya msomi ni kubadiri misimamo kuendana na wakati uliopo, miaka ya nyuma suala la mtoto kurudi shule baada ya kujifungua tuliona halifai lakini miaka ya 2020s tumeona kurudi mtoto wa kike darasana baada ya kujifungua ni suala jema. HK ametimiza wajibu wake wanaotaka asiwe radical et kwa sababu ya aliyowahi kusema ama kufanya nyuma wajitafakari upya.
Hii nchi imejaa wanafiki wa ajabu, rasimu ya Warioba ilikuwa na mapendekezo yote ya kufanya mifumo/taasisi ziwe huru, lakini Kigwangwala aliamua kusimama na msimamo wa chama, Leo kujiliza kuhusu ubovu wa mifumo ni kusanifu watu. Hoja yake ni real, ila yeye sio mtu sahihi wa kuiongea.
 
Akikaa mezani huyu huyu atasema account yake ilihakiwa na sio yeye.
Ukiamua kukaa kimya ukiwa unakula vinono mezani usitupigie kelele ukiwa benchi. Sababu hata ukirudi Tena utatifanyia the same thing.
Kwanza aturdishie bil2 ya kinyago cha nyerere.
 
nakubaliana na kingwangala, tatizo watanzania hawataki mtu radical, asiye badirika, ukitoa msimamo tofauti na waliozoea wanasema unasema kwa sababu haupo kwenye mfumo. Nyerere alifuta vyama vingi lakini baadae akaupigia chapuo mfumo wa vyama vingi je ni kwasababu hakuwa rais? mbona hakutukana. HK ni msomi na sifa ya msomi ni kubadiri misimamo kuendana na wakati uliopo, miaka ya nyuma suala la mtoto kurudi shule baada ya kujifungua tuliona halifai lakini miaka ya 2020s tumeona kurudi mtoto wa kike darasana baada ya kujifungua ni suala jema. HK ametimiza wajibu wake wanaotaka asiwe radical et kwa sababu ya aliyowahi kusema ama kufanya nyuma wajitafakari upya.
Mkuu;

Hoja ya HK ni nzuri ila ina hafifishwa kwa asilimia kubwa na iliyokuwa tabia au hulka yake akiwa na cheo, muda na nyakati uradical wake na mazingira anayosemea hoja yake!

Kwa jinsi hii ni vigumu kuaminika achilia mbali kueleweka!

Aachwe na uradical mbuzi wake1!
 
CCM imegeuka kikundi cha watu wachache wanaotumia madaraka kwa manufaa binafsi. Madaraka ambayo of course hayatoki kwa wananchi kwa sababu ya mifumo ya ovyo ya siasa waliyoiweka. HK yuko sahihi kabisa hisipokuwa amekuwa mnufaika wa mifumo hii na anakosa credibility ya kuikosoa kwa kuwa hapo nyuma amekuwa mtetezi wa hii mifumo.

Pamoja na kwamba zipo taasisi na vyombo vya kusimamia yote aliyoyataja lakini vyote vimemezwa. Kama bunge lenyewe ambalo HK ni mmojawapo, linashindwa kutimiza wajibu wake kwa kusimama na wananchi alikadhalika mahakama zetu, itakuwaje raisi kwa TAKUKURU kwa mfano?

Ni raisi kuyaona haya ukiwa nje ya system.
Ccm ni ile ile ziku zoye tangia azimio la Zanzibar lilipowekwa, na huyu mi namuona mhuni wa kisiasa tu. Leo akipewa teuzi atabadilisha ndimi mtashangaa wenyewe. Yote haya ni machungu ya kutemwa kwenye teuzi.
 
Back
Top Bottom