Kigwangalla jiulize sana kwanini wewe

Watu wanasema aliachwa kwa sababu alikuwa anachapa sana wake za watu na kuwa na demu kila mkoa hapa Tanzania.Inasadikika ni yeye ndiye Mtanzania wa kwanza kuwa na wanawake kila mkoa na Wilaya hapa nchini.
 
Juzi nimepitapita mitaa mbalimbali ya starehe mjini Nzega kwa kweli watu nilioongea nao wameonyesha kufurahia sana kutemwa uwaziri kwa mbunge wa Nzega,Dr Hamis Kigwangala ikiwemo nyumbani kwao na hata aliosoma nao primary, wanadai kwamba alilewa madaraka akajiona matawi na kumsharau kila MTU .hii ni funzo kwa kila aliyejuu akijidai hata ataisoma namba
 
Wengi wao utakuta ni bavicha na nyumbu wenzao,
 
Jamaa hapendwi aisee
 
Magi anamchana kigwagangala kuchukua ndege za tanapa na kwenda kustarehe. Haha analog Hilo bagaile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…