Kigwangalla apingwa vikali baada ya kuunga mkono kipimo cha mkojo!

Kigwangalla apingwa vikali baada ya kuunga mkono kipimo cha mkojo!

Eti hawa ndio viongozi wa kuipeleka nchi kwenye uchumi wa viwanda!!!!!!
 
Uchochezi ni vimelea aina ya protozoa vinavyopatikana endapo mtu atatumia baadhi ya chemical labda ndivyo Kigwangala alichotaka tukiamini.
 
Siku ile alipowafungia wafanyakazi nnje ya geti huyu Dr. Alikuwa na vimelea gani kwenye mkojo wake?
 
Kiongozi kama huyu hata akitukanwa matusi ya nguoni ni halali yake.

Dawa ya moto ni moto.
 
Vitendo vilivyofanywa na mlevi vitakuwaje uchochezi? Labda kama unataka kubadilisha mashitaka yawe matumizi ya madawa.
 
Hapa kigangwala anasema uchichozi unaweza pimwa kwenye mkojo,kwamba kuna kemikali ukizitumia husababisha uchochezi!

Hapa anafananisha watu na wanyama,basi naye kipimo cha mkojo kinamuhusu,huenda kemikali ndio zinamfanya asiheshimu binadamu wenzake!

Mabala wa Mabalaa uko vizuri sana!
 
Huyo aliwahi kuiba explosives alipokuwa store keeper wa Moolman Brothers kule Nzega, akawekwa korokoroni kituo cha polisi Nzega. Baadaye mwajiri alimfukuza kazi na kuamua kuachana na kesi ya wizi iliyokuwa inamhusu. Kabla ya hapo aliiba jina, wote mnajua. Hastahili hata kuwa kiongozi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa kigangwala anasema uchichozi unaweza pimwa kwenye mkojo,kwamba kuna kemikali ukizitumia husababisha uchochezi!

Hapa anafananisha watu na wanyama,basi naye kipimo cha mkojo kinamuhusu,huenda kemikali ndio zinamfanya asiheshimu binadamu wenzake!

Kwanza taarifa za awali toka kwa mtu anayemfahamu vizuri kigwangala huyu ni raia wa Burundi aliyezaliwa kwenye kambi ya wakimbizi ya ulyankuru iliyopo Tabora.
 
Sijaona hoja iliyojibu hoja ya Kigwangalla...

Hii thread yako ni ya viti maalum ndio maana inaendelea kuwepo
Hoja za kisayansi zinajibiwa kisiasa.

posti fromu Nokia kitochi yuzingi jamii forum
 
Back
Top Bottom