Baada ya kupima mkojo wa binadamu kwa kutumia MRDT ambacho Ni kipimo kinachotumika kupima Malaria, nilitegemea majibu yangekuwa Invalid au undetermined lakini Cha kushangaza kipimo kimeonyesha negative kwa sababu kipimo hiki hutumika kupima damu.
Je kwa majibu haya Kuna uwezekano hata vipimo vya CORONA viko sahihi kwa kutoa majibu ya papai kuwa positive.
NB: yeyote yule anaweza kununua kipimo hiki na kufanya jaribio hili Nyumbani kwake ili ajiridhishe
Je kwa majibu haya Kuna uwezekano hata vipimo vya CORONA viko sahihi kwa kutoa majibu ya papai kuwa positive.
NB: yeyote yule anaweza kununua kipimo hiki na kufanya jaribio hili Nyumbani kwake ili ajiridhishe