Kigwangalla apingwa vikali baada ya kuunga mkono kipimo cha mkojo!

Kigwangalla apingwa vikali baada ya kuunga mkono kipimo cha mkojo!

Ifike wakti tujenge hoja zenye tija tofauti na kua bendera wafuata upepo. ..Dr.Kigwangala alichosema kuna uwezekano wa athari za matumiz ya madawa ya kulevya kumfanya mtu kuzungumza vitu ambavyo vinaweza leta picha tofauti. ..mfano mtu akilewa anaweza toa lugha ya chafu kwa mtu yeyote au kufanya jambo lolote la aibu bila kujali muktadha.
Na kilichoulizwa ni kuhusu upimwaji wa mkojo na ishu ya uchohezi kwa maana ya kwamba mtu anaweza shiriki kutoa maneno ya uchohezi kutokana na kua ametumia madawa. ..that means mentally driven by alcohol ...or other addicts
Sasa watu mnshishindwa kutenganisha majibu ya Dr.Kigwangala na ishu ya Tundu Lisu.
Dr.Kigwangala amejibu kipimo cha mkojo kinahusiana nn na matumiz ya dawa za kulevya na sio kipimo cha mkojo na kesi ya Tundu Lisu


Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu nachojua Lissu hajawahi kumtukana mtu, alichoongea ni lugha halali kabisa na ukweli halali, sema kwa kuwa aliyesemwa ni mzito hivyo kila chepesi hugeuka na kuwa kizito.

Hebu jiulize mwenyewe fair question. Toka Tanganyika ipate uhuru na kuungana na Zanzibar kumeshatokea kesi ngapi polisi za kutukanana (Mitusi hasa), ulishawahi sikia yeyote kati ya hao akipelekwa kwa mkemia mkuu kupima mkojo???
 
Huyo aliwahi kuiba explosives alipokuwa store keeper wa Moolman Brothers kule Nzega, akawekwa korokoroni kituo cha polisi Nzega. Baadaye mwajiri alimfukuza kazi na kuamua kuachana na kesi ya wizi iliyokuwa inamhusu. Kabla ya hapo aliiba jina, wote mnajua. Hastahili hata kuwa kiongozi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Apimwe mkojo ili tujue kama kemikali ndio zilimfanya aibe
 
Ifike wakti tujenge hoja zenye tija tofauti na kua bendera wafuata upepo. ..Dr.Kigwangala alichosema kuna uwezekano wa athari za matumiz ya madawa ya kulevya kumfanya mtu kuzungumza vitu ambavyo vinaweza leta picha tofauti. ..mfano mtu akilewa anaweza toa lugha ya chafu kwa mtu yeyote au kufanya jambo lolote la aibu bila kujali muktadha.
Na kilichoulizwa ni kuhusu upimwaji wa mkojo na ishu ya uchohezi kwa maana ya kwamba mtu anaweza shiriki kutoa maneno ya uchohezi kutokana na kua ametumia madawa. ..that means mentally driven by alcohol ...or other addicts
Sasa watu mnshishindwa kutenganisha majibu ya Dr.Kigwangala na ishu ya Tundu Lisu.
Dr.Kigwangala amejibu kipimo cha mkojo kinahusiana nn na matumiz ya dawa za kulevya na sio kipimo cha mkojo na kesi ya Tundu Lisu


Sent using Jamii Forums mobile app
stupid
 
Ifike wakti tujenge hoja zenye tija tofauti na kua bendera wafuata upepo. ..Dr.Kigwangala alichosema kuna uwezekano wa athari za matumiz ya madawa ya kulevya kumfanya mtu kuzungumza vitu ambavyo vinaweza leta picha tofauti. ..mfano mtu akilewa anaweza toa lugha ya chafu kwa mtu yeyote au kufanya jambo lolote la aibu bila kujali muktadha.
Na kilichoulizwa ni kuhusu upimwaji wa mkojo na ishu ya uchohezi kwa maana ya kwamba mtu anaweza shiriki kutoa maneno ya uchohezi kutokana na kua ametumia madawa. ..that means mentally driven by alcohol ...or other addicts
Sasa watu mnshishindwa kutenganisha majibu ya Dr.Kigwangala na ishu ya Tundu Lisu.
Dr.Kigwangala amejibu kipimo cha mkojo kinahusiana nn na matumiz ya dawa za kulevya na sio kipimo cha mkojo na kesi ya Tundu Lisu


Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa ila swali ni hili hivi mkojo wa mwanaume mwenzao wanautakia nini hasa kwa mfano mkojo sijajua mkojo wa nini???

mzee mzima haishiwi maneno
 
Huyu jamaa akiwa daktari amewahi kutibu mtu akapona?
 
Ifike wakti tujenge hoja zenye tija tofauti na kua bendera wafuata upepo. ..Dr.Kigwangala alichosema kuna uwezekano wa athari za matumiz ya madawa ya kulevya kumfanya mtu kuzungumza vitu ambavyo vinaweza leta picha tofauti. ..mfano mtu akilewa anaweza toa lugha ya chafu kwa mtu yeyote au kufanya jambo lolote la aibu bila kujali muktadha.
Na kilichoulizwa ni kuhusu upimwaji wa mkojo na ishu ya uchohezi kwa maana ya kwamba mtu anaweza shiriki kutoa maneno ya uchohezi kutokana na kua ametumia madawa. ..that means mentally driven by alcohol ...or other addicts
Sasa watu mnshishindwa kutenganisha majibu ya Dr.Kigwangala na ishu ya Tundu Lisu.
Dr.Kigwangala amejibu kipimo cha mkojo kinahusiana nn na matumiz ya dawa za kulevya na sio kipimo cha mkojo na kesi ya Tundu Lisu


Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika meeengii! Vipi kuhusu mtu akipewa cheyo!? Mbona analewa kuliko aliyebwia cocaine? Unashauri huyo tumpime nini? Kwa sababu hawa ndiyo huingia mikataba ya hovyo, kutoa maamuzi ya kijinga na hata mkimpa mic anatapika ushuzi. Usijibu. Tulia. Tafakari. Acha kulewa!
 
Anafanansha bnadam na wanyama, nae akapmwe mkojo uenda ana2mia bange
 
Daktari Huyo nae acheni utani na Elimu ninyi...hakuna daktari mjinga labda awe amefoji vyeti..
 
Hatakiwi kuanza na Dr. Kwa sababu Hana PhD yeye ni Kigwangala (MD)! Mengine yote sifa tu!
 
Siku watanzania wakigundua kuwa maabara ya GCLA haiaminiki wataacha kupeleka mikojo huko.....it's just matter of time! Narudia tena GCLA haiaminiki.
 
Ifike wakti tujenge hoja zenye tija tofauti na kua bendera wafuata upepo. ..Dr.Kigwangala alichosema kuna uwezekano wa athari za matumiz ya madawa ya kulevya kumfanya mtu kuzungumza vitu ambavyo vinaweza leta picha tofauti. ..mfano mtu akilewa anaweza toa lugha ya chafu kwa mtu yeyote au kufanya jambo lolote la aibu bila kujali muktadha.
Na kilichoulizwa ni kuhusu upimwaji wa mkojo na ishu ya uchohezi kwa maana ya kwamba mtu anaweza shiriki kutoa maneno ya uchohezi kutokana na kua ametumia madawa. ..that means mentally driven by alcohol ...or other addicts
Sasa watu mnshishindwa kutenganisha majibu ya Dr.Kigwangala na ishu ya Tundu Lisu.
Dr.Kigwangala amejibu kipimo cha mkojo kinahusiana nn na matumiz ya dawa za kulevya na sio kipimo cha mkojo na kesi ya Tundu Lisu
Kuna wakati tunatumia vibaya vyeo na heshima tuanyopewa na jamii kutokana na elimu yetu. Hivi kwanini hawakufuata taratibu za kisheria kumpima kama kulikuwa na sababu thabiti. Naibu Waziri na wewe mnatumia vibaya elimu yenu ati kwa kuwa ni madaktari. Hii ni aibu sana kuhusisha kupima mkojo wa mheshimiwa Tundu Lisu na uchochezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa kigangwala anasema uchichozi unaweza pimwa kwenye mkojo,kwamba kuna kemikali ukizitumia husababisha uchochezi!

Hapa anafananisha watu na wanyama,basi naye kipimo cha mkojo kinamuhusu,huenda kemikali ndio zinamfanya asiheshimu binadamu wenzake!

Tafuteni continuous assesment zake akiwa medical school mtajua ni daktari wa namna gani. Daktari mzuri huwa haiingii siasa ila anatibu wagonjwa kwa weledi, kujiunga na siasa ni njaa tu alikua hana wito.
 
Huyo aliwahi kuiba explosives alipokuwa store keeper wa Moolman Brothers kule Nzega, akawekwa korokoroni kituo cha polisi Nzega. Baadaye mwajiri alimfukuza kazi na kuamua kuachana na kesi ya wizi iliyokuwa inamhusu. Kabla ya hapo aliiba jina, wote mnajua. Hastahili hata kuwa kiongozi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Akapimwe mkojo, nae ana vimelea vya wizi!
 
Back
Top Bottom