Kigwangalla apingwa vikali baada ya kuunga mkono kipimo cha mkojo!

Kigwangalla apingwa vikali baada ya kuunga mkono kipimo cha mkojo!

Ukishakuwa na Waziri mwenye kutoa hoja kama za Kingwangwalah ujue basi huko serikalini kuna madudu ya kila aina..

Hapo alipo tu jina hilo sio lake..

Yeye na Bashite RC wa Dsm hamna tofauti..

Wote ni wahalifu wa Taaluma.

..
 
huyu mabala the farmer ajikalie kimya tu, hawashindi kusema ni raia fake.
 
Ifike wakti tujenge hoja zenye tija tofauti na kua bendera wafuata upepo. ..Dr.Kigwangala alichosema kuna uwezekano wa athari za matumiz ya madawa ya kulevya kumfanya mtu kuzungumza vitu ambavyo vinaweza leta picha tofauti. ..mfano mtu akilewa anaweza toa lugha ya chafu kwa mtu yeyote au kufanya jambo lolote la aibu bila kujali muktadha.
Na kilichoulizwa ni kuhusu upimwaji wa mkojo na ishu ya uchohezi kwa maana ya kwamba mtu anaweza shiriki kutoa maneno ya uchohezi kutokana na kua ametumia madawa. ..that means mentally driven by alcohol ...or other addicts
Sasa watu mnshishindwa kutenganisha majibu ya Dr.Kigwangala na ishu ya Tundu Lisu.
Dr.Kigwangala amejibu kipimo cha mkojo kinahusiana nn na matumiz ya dawa za kulevya na sio kipimo cha mkojo na kesi ya Tundu Lisu


Sent using Jamii Forums mobile app

Usimtete Kigwangwala,ni mpuuzi kama wapuuzi wengine.Anza toka alivyoaandika hiyo pumba kumuhusu Lissu ndipo.utajua kwanini ametukanwa
 
Kiwango cha elimu si jambo la msingi hapa lkn kusema uchochezi unaweza kupimwa kwenye mkojo hii naamini only in Tanzania!Halafu neno UCHOCHEZI lina tafsiri gani kwaTanzania?Ningependa wataalam wa BAKITA wake watoe tafsiri.
Uchochezi maana yake ni kuhamasisha mtu kufanya kitu Fulani

Mf, unaweza kuchochea watu wafanye kazi
 
Ifike wakti tujenge hoja zenye tija tofauti na kua bendera wafuata upepo. ..Dr.Kigwangala alichosema kuna uwezekano wa athari za matumiz ya madawa ya kulevya kumfanya mtu kuzungumza vitu ambavyo vinaweza leta picha tofauti. ..mfano mtu akilewa anaweza toa lugha ya chafu kwa mtu yeyote au kufanya jambo lolote la aibu bila kujali muktadha.
Na kilichoulizwa ni kuhusu upimwaji wa mkojo na ishu ya uchohezi kwa maana ya kwamba mtu anaweza shiriki kutoa maneno ya uchohezi kutokana na kua ametumia madawa. ..that means mentally driven by alcohol ...or other addicts
Sasa watu mnshishindwa kutenganisha majibu ya Dr.Kigwangala na ishu ya Tundu Lisu.
Dr.Kigwangala amejibu kipimo cha mkojo kinahusiana nn na matumiz ya dawa za kulevya na sio kipimo cha mkojo na kesi ya Tundu Lisu


Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo wanaopaswa kupimwa mkojo baada ya kufanya uchochezi ni wanasiasa tu.

Mbona mateja wengi tu hawachochei.

Lexus Mayai
 
Na yeye akapimwe mkojo kwanikunadalili za chemikali fulani kwenye mwili wake. Tanzania imefanya ugunduzi wa kutumia mkojo kujua sababu ya uchochezi. Hongera sana Naibu wetu utapewa shada la maua.
 
Ifike wakti tujenge hoja zenye tija tofauti na kua bendera wafuata upepo. ..Dr.Kigwangala alichosema kuna uwezekano wa athari za matumiz ya madawa ya kulevya kumfanya mtu kuzungumza vitu ambavyo vinaweza leta picha tofauti. ..mfano mtu akilewa anaweza toa lugha ya chafu kwa mtu yeyote au kufanya jambo lolote la aibu bila kujali muktadha.
Na kilichoulizwa ni kuhusu upimwaji wa mkojo na ishu ya uchohezi kwa maana ya kwamba mtu anaweza shiriki kutoa maneno ya uchohezi kutokana na kua ametumia madawa. ..that means mentally driven by alcohol ...or other addicts
Sasa watu mnshishindwa kutenganisha majibu ya Dr.Kigwangala na ishu ya Tundu Lisu.
Dr.Kigwangala amejibu kipimo cha mkojo kinahusiana nn na matumiz ya dawa za kulevya na sio kipimo cha mkojo na kesi ya Tundu Lisu


Sent using Jamii Forums mobile app
Na yeye akapimwe mkojo,yawezekana ni athari za kemikali ndio maana anawafananisha binadamu na wanyama!
Tukifikiri hili la mkojo,basi wanaoshatakiwa wote kwa makosa kama Ubakaji,mauaji,wizi NK wawe wanapimwa maana yawezekana ni influence ya kemikali!!!!!!
Tutawapima wengi,hata Mkapa naye itabidi apimwe!All the way up!

Hili la kauli ya Kigwangala halijaja wakati huu kwa bahati mbaya,ni specific kwa issue ya Lissu!Hilo liko wazi!!!!!
 
Uchochezi maana yake ni kuhamasisha mtu kufanya kitu Fulani

Mf, unaweza kuchochea watu wafanye kazi
Vile mkulu anavyotaja UCHOCHEZI, KUCHOCHEA unaweza kufikiri ni Alshababu wametua Bongo

Lexus Mayai
 
Jamaa akili ndionzero brain. Swala la kukurupuka la kutaja mashoga hadharani alifika nalo wapi? Jamaa bwabwa tu
 
upload_2017-8-3_18-32-44.jpeg
 
Back
Top Bottom