Ifike wakti tujenge hoja zenye tija tofauti na kua bendera wafuata upepo. ..Dr.Kigwangala alichosema kuna uwezekano wa athari za matumiz ya madawa ya kulevya kumfanya mtu kuzungumza vitu ambavyo vinaweza leta picha tofauti. ..mfano mtu akilewa anaweza toa lugha ya chafu kwa mtu yeyote au kufanya jambo lolote la aibu bila kujali muktadha.
Na kilichoulizwa ni kuhusu upimwaji wa mkojo na ishu ya uchohezi kwa maana ya kwamba mtu anaweza shiriki kutoa maneno ya uchohezi kutokana na kua ametumia madawa. ..that means mentally driven by alcohol ...or other addicts
Sasa watu mnshishindwa kutenganisha majibu ya Dr.Kigwangala na ishu ya Tundu Lisu.
Dr.Kigwangala amejibu kipimo cha mkojo kinahusiana nn na matumiz ya dawa za kulevya na sio kipimo cha mkojo na kesi ya Tundu Lisu
Sent using
Jamii Forums mobile app