Quack doctor!we hushangai mtu anajinasibu kuwa ni medical doctor lakini anapojibu maswali ya wizara ya afya anachemka hadi anasaidiwa na ummy mwalimu ambaye ni mwanasheria...huyu hakufoji jina tu,hadi vyeti nahisi.
we hushangai mtu anajinasibu kuwa ni medical doctor lakini anapojibu maswali ya wizara ya afya anachemka hadi anasaidiwa na ummy mwalimu ambaye ni mwanasheria...huyu hakufoji jina tu,hadi vyeti nahisi.
Bado nashangaa Bawacha wanapinga nini sijui na hili halikuhitaji kuwa mwana sayansi kulitambua....Mkojo unaweza kuwa na uhusiano na uharifu kabisa, na ninakubaliana kabisa na Dkt Kigwangala. Maana kama mtu anatumia madawa akili zake zinaweza kuwa zimaruka BCOZ YA MADAWA
hahahahahhahaHawa ndiyo mawaziri tuliambiwa alikuwa ana lala saa 8 usiku akichambua sifa zao. Shame
Kaziha
hahahahahhaha