Usiwe na shaka sana ndugu hali hiyo inawezakwisha automatically, nami ni muathirka wa hili... Nakumbuka nikiwa mdogo binamu yangu wa kike alikuwa ni mzuri kwa umbo pia alikuwa na kigugumizi na aliongea kwa mkato mkato. Mie kwa akili za utoto nikavutiwa sana na hali ile. Nikaiga kila alivyokuwa anaongea, baadae nami nikawa na kigugumizi kikubwa(cha kujitakia kabisa).
ATHARI:
1. Hujenga hali ya kutojiamini kwa muathirika hii inatokana na kunyimwa nafasi ya kujieleza ya kutosha kutokana na kutumia muda mwingi katika kutamka maneno.
2. Huwa na asira za mara kwa mara kwa kuhisi kuwa anapuuzwa.
3. Anapokuwa kwenye excitiment yeyote/planning for response(anapotumia muda mwingi kujiandaa kuelezea kitu cha baadae huwa taabu kwelikweli nk)
NOTE: Binafsi hivi sasa naichukia sana hali hii.
MAMBO YA KUFANYA:
1. Mzazi/Mlezi mpe nafasi ya kutosha kijana wako ya kujieleza japo atatumia muda mrefu(hii hutufanya tuhisi tunathaminiwa)
2. Usimkate kilimi anapoongea.
3. Kama inawezekana anapoongea usimpuuze mkazie macho hadi atapomaliza kuongea.
4. Kama itatokea akashindwa kutaja baadhi ya maneno kwa wale wenye kigugumizi kikali na kupiga ngumi ukutani/mguu chini msaidie katika kutamka maneno husika.
5. Mpe muda mrefu sana wa kuongea au kuimba mf: kwaya kanisani/kaswida msikitini nk kuliko kukaa kimya.
Siku zote mshauri kuongea taratibu kwa kupumzika, anapokuwa na hasira/furaha ya ghafla asiongee hadi hasira/furaha ishuke.
6. Asichekwe anapoongea kwani hali hii humfanya kukaa kimya muda mrefu hatimae hali huwa mbaya zaidi.
TAHADHARI:
Kigugumizi ni chepesi kweli kweli kuigika, kama utaona watoto wadogo wanajaribu kumuiga mtu yeyote wa karibu mwenye kigugumizi waeleze kwa upole na mara kwa mara madhara yake.
NINA HUSHUHUDA KWA HILI: Jirani yangu mmoja alikuwa na kigugumizi kikali na wadogo zake wawili wakatokea kumuiga kaka yao, hivi sasa wote watatu wameathirika kwa hilo. Ahsante.
ATHARI:
1. Hujenga hali ya kutojiamini kwa muathirika hii inatokana na kunyimwa nafasi ya kujieleza ya kutosha kutokana na kutumia muda mwingi katika kutamka maneno.
2. Huwa na asira za mara kwa mara kwa kuhisi kuwa anapuuzwa.
3. Anapokuwa kwenye excitiment yeyote/planning for response(anapotumia muda mwingi kujiandaa kuelezea kitu cha baadae huwa taabu kwelikweli nk)
NOTE: Binafsi hivi sasa naichukia sana hali hii.
MAMBO YA KUFANYA:
1. Mzazi/Mlezi mpe nafasi ya kutosha kijana wako ya kujieleza japo atatumia muda mrefu(hii hutufanya tuhisi tunathaminiwa)
2. Usimkate kilimi anapoongea.
3. Kama inawezekana anapoongea usimpuuze mkazie macho hadi atapomaliza kuongea.
4. Kama itatokea akashindwa kutaja baadhi ya maneno kwa wale wenye kigugumizi kikali na kupiga ngumi ukutani/mguu chini msaidie katika kutamka maneno husika.
5. Mpe muda mrefu sana wa kuongea au kuimba mf: kwaya kanisani/kaswida msikitini nk kuliko kukaa kimya.
Siku zote mshauri kuongea taratibu kwa kupumzika, anapokuwa na hasira/furaha ya ghafla asiongee hadi hasira/furaha ishuke.
6. Asichekwe anapoongea kwani hali hii humfanya kukaa kimya muda mrefu hatimae hali huwa mbaya zaidi.
TAHADHARI:
Kigugumizi ni chepesi kweli kweli kuigika, kama utaona watoto wadogo wanajaribu kumuiga mtu yeyote wa karibu mwenye kigugumizi waeleze kwa upole na mara kwa mara madhara yake.
NINA HUSHUHUDA KWA HILI: Jirani yangu mmoja alikuwa na kigugumizi kikali na wadogo zake wawili wakatokea kumuiga kaka yao, hivi sasa wote watatu wameathirika kwa hilo. Ahsante.