uyui kwetu
JF-Expert Member
- Oct 23, 2013
- 1,185
- 734
Sawa ni nini?? mm pia ni muathirika wa hilo MziziMkavu
Last edited by a moderator:
Sawa ni nini?? mm pia ni muathirika wa hilo MziziMkavu
Pole sana unamuiga mtu mwenye matatizo? Kwani yeye aliomba ili apte hicho kigugumizi?Mimi nilizaliwa bila kigugumizi, nilipofika miaka sita nilikwenda kutembea kijijini ambako mtoto nilieishi nae (humo ndani mwao) alikuwa na kigugumizi!...
Pole sana unamuiga mtu mwenye matatizo ??? Kwani yeye aliomba ili apte hicho kigugumizi?
Dawa ya kigugumizi ipo ukitaka nitafute kwa kubonyeza hapa.MawasilianoNina mdogo wangu sasa ana miaka 19.
Toka amezaliwa na mpaka ameanza kuongea, lakini alipofikisha umri wa miaka 5, alianza kuongea akiwa na kigugumizi, hadi sasa amekuwa akisumbuliwa.
NAOMBENI USHAURI / DAWA KWA HUYU DOGO
hao ndugu wapate hela wawe matajiri atawafata tu.ukiona mtu haji kwenu ujue hamna kituHaufahamu dawa ya kuroga mtu awe anaenda kwao kutembelea ndugu na jamaa?
Ila kweli ujue kule ni kwao sema tu walipogawa ndo yeye akaja huku sasa nataka aende hata kuwaona mara moja kwa njia ya kawaida kagoma kwendahao ndugu wapate hela wawe matajiri atawafata tu.ukiona mtu haji kwenu ujue hamna kitu