Kajirutaluka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 1,224
- 994
Aiseee
Umenena kweli tupuCkia ww hela hawawez kuchukua pale ambao ww unaona...hiyo hela inaenda kupigwa juu kwa juu hao polisi wenyew wanadi madai yao kibao hawajalipwa uzalendo huo bado sana kwa jeshi letu
Mleta Bado Sana Hajui AlisemaloKituoni bosi wao atamtoka mhalifu kwa million moja
Unajua inside job.Ahsante kwa sasa nipo maeneo ya NMB bank....nasikia mshikaji bado ameshikiliwa....
mekupata kwa ushuhuda ulionao!maana hata kuapa kwa kitabu kitakatifu uko radhiMkuu niliyashuhudia, nilikuwa home kijijini kwetu kabisa, jamaa alimpiga mke wake mpaka mauti yalimkuta yule mama, watu walikusanyika, ilibidi majukumu yagawanywe wengine waende polisi wilayani ili mwili wa marehemu ukahifadhiwe hospitali na polisi wachukue vipimo vyao. Waliokwenda polisi waliambiwa wajaze mafuta na walifanya hivyo.