Wakuacha
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 2,041
- 1,323
Jana katika pita pita zangu nikiwa nimefika tu katika wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma. Nikaona ngoja nitembee tembee kidogo nishangae vumbi la Kasulu. Nikapita pale NMB nikachagua lugha kidogo nikajaa mfukoni. Nikasema si mbaya nikatafute japo juice nikaelekezwa sehemu moja pale karibia na sehemu wanauza piki piki pembeni yake kuna sheli ya mafuta najua wenyeji wanapajua hapa kidogo nikatupa macho upande wa pili nikaona vijana wa tatu.
Nikaangalia kwa umakini ni kama kuna kitu ki naendelea pale, nilikunywa juice kwa muda mrefu na wale vijana walikuwa pale kama kuna kitu fulani hivi wanakitafuta, mi nikitazama baada ya kumaliza juice yangu nikajisogeza pale ili nijue nini kinaendelea tyuu kufika pale.
"Nikaulizwa we ndo mwenye hii piki piki nikawajibu hapana, wakaniambia kaa hapa nika kaa, "mi mgeni nikajaribu kuwauliza wakadai wao ni maafisa wa polisi, kumbe yule muuzaji huwa anatoa bima feki aaahh nilipigwa na butwaa anagushi bima aisee, halafu mbaya wanaonunua piki piki huwa hawajui.
Jamaa akawavuta pembeni akawatangazia awape Millioni mbili jamaa akafika mpaka tatu inshu waipotezee lakini walimkomalia na hatimaye waliondoka nae hadi kituoni nikasema aisee kweli polisi wameanza kuwa wazalendo kukataa millioni tatu huku wakiwa watatu tu.
Aisee hawa wanastahili pongezi nilianza kuwaza kwa sauti kumbe unaeza kununua piki piki ukapewa bima feki huku kila ukikutana na trafik unamuambia nyumbani ipo originl hii ni copy yake, lakini nikajiuliza tena au huwa ni mchongo kati ya muuzaji na mnunuzi.
Nikaangalia kwa umakini ni kama kuna kitu ki naendelea pale, nilikunywa juice kwa muda mrefu na wale vijana walikuwa pale kama kuna kitu fulani hivi wanakitafuta, mi nikitazama baada ya kumaliza juice yangu nikajisogeza pale ili nijue nini kinaendelea tyuu kufika pale.
"Nikaulizwa we ndo mwenye hii piki piki nikawajibu hapana, wakaniambia kaa hapa nika kaa, "mi mgeni nikajaribu kuwauliza wakadai wao ni maafisa wa polisi, kumbe yule muuzaji huwa anatoa bima feki aaahh nilipigwa na butwaa anagushi bima aisee, halafu mbaya wanaonunua piki piki huwa hawajui.
Jamaa akawavuta pembeni akawatangazia awape Millioni mbili jamaa akafika mpaka tatu inshu waipotezee lakini walimkomalia na hatimaye waliondoka nae hadi kituoni nikasema aisee kweli polisi wameanza kuwa wazalendo kukataa millioni tatu huku wakiwa watatu tu.
Aisee hawa wanastahili pongezi nilianza kuwaza kwa sauti kumbe unaeza kununua piki piki ukapewa bima feki huku kila ukikutana na trafik unamuambia nyumbani ipo originl hii ni copy yake, lakini nikajiuliza tena au huwa ni mchongo kati ya muuzaji na mnunuzi.