Duh kumbe kwakina Zito Kabwe na Kafulila kuzuri hivi?
![]()
Duh kumbe kwakina Zito Kabwe na Kafulila kuzuri hivi?
![]()
Ukiwa kigoma utapata ukarim kutoka kwa wenyeji, migebuka, dagaa safi, mitebwe, makopa, ngazi, mise nk
Hapo ukisha wasindikiza wageni unarudi kibilizi kupumzika. lol
Katika watu wanaopenda kusindikiza wenzao ni wa ujiji, yaani msafiri ni mmoja wasindikizaji 12, hadi majirani!
nazikumbuka hizi sehemu cjui kama bado zipo
1,Stanley cafee...nilikaa hapo enzi zile mkuu wa mkoa Mgumia anampisha Marehemu Ditopile
2,zanzibar lodge cjui kama bado iko na ile timu ya Mbaga Fc...
ila vipi kuhusu Lami zimeongezeka?...maana last ilikua moja tu...
asante sana bigabiro umenikumbusha mbali sana.. toka 1984 nimeondoka huko sijarudi... please endelea kutuma picha za Kigoma.
Mkuu sasa hivi Kigoma ni poa sana. Stanley haipo tena bali kuna vitu vingine heavy! Zanzibar lodge ipo na imezaa nyingine Zanzibar Hill. Mbanga FC haipo tena na mmiliki wake Ruhuza amejiingiza kwenye siasa na ameamua kumkomalia Kafulila huko NCCR! Lami iliboreshwa kiasi tu. Mabadiliko ni mengi sana Mkuu.nazikumbuka hizi sehemu cjui kama bado zipo
1,Stanley cafee...nilikaa hapo enzi zile mkuu wa mkoa Mgumia anampisha Marehemu Ditopile
2,zanzibar lodge cjui kama bado iko na ile timu ya Mbaga Fc...
ila vipi kuhusu Lami zimeongezeka?...maana last ilikua moja tu...
Lakini usisahau funza pia...
kigoma ni mji wa waha, wamanyema, watongwe, ni vikabila vidogo vidogo sana,
ndg zangu kigoma sasa hivi ni mji wa uwekezaji. kama una mavumba kimbia njoo kgm baada ya daraja la kikwete kukamilika patakuwa hapakamatiki