Mtanzania haswa
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 663
- 99
Mzee Bigabiro usisahau na hii hapa chini. Huyu ndio mkongwe wa majini Katika Africa ya Mashariki.
M-Kishuri. hili jina linanikumbusha mwl. wa mwanza sekondari alikua mwanariadha
Mzee Bigabiro usisahau na hii hapa chini. Huyu ndio mkongwe wa majini Katika Africa ya Mashariki.
Mzee Bigabiro usisahau na hii hapa chini. Huyu ndio mkongwe wa majini Katika Africa ya Mashariki.
M-Kishuri. hili jina linanikumbusha mwl. wa mwanza sekondari alikua mwanariadha
M-Kishuri. hili jina linanikumbusha mwl. wa mwanza sekondari alikua mwanariadha
...mkuu huyo teacher bado yupo na anaendelea kufukuza upepo kama kawa' japo na umri nao unazidi kumkimbia kwa kasi,tangu nmjue Kinshuri ktk tasini hii ya riadha sijawai kusikia kama ameshiriki na kushinda mashindano yoyote,any way kushiriki na kushinda sio issue labda anakimbia ili kujiimalisha kiafya,but mshikaji wangu mmoja aliyepiga-book hapo Mwanza sec. aliniambia huyo mwl...sometime YES! sometime NO!...M-Kishuri. hili jina linanikumbusha mwl. wa mwanza sekondari alikua mwanariadha
Is it still operational?Mzee Bigabiro usisahau na hii hapa chini. Huyu ndio mkongwe wa majini Katika Africa ya Mashariki.
Urashashe.Ukiwa kigoma utapata ukarim kutoka kwa wenyeji, migebuka, dagaa safi, mitebwe, makopa, ngazi, mise nk