Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 754
- 3,097
Msanii wa Muziki na Diwani wa Mwanga Kaskazini, Clayton Chipando ‘Baba Levo’ ameachiwa huru leo baada ya kumaliza hukumu yake ya miezi mitano huku Mahakama ikijiridhisha kuwa kifungo alichoongezewa kilikuwa batili.
Baba levo alihukumiwa kwenda jela Miezi mitano Agosti 01, 2019 na Mahakama ya Mwanzo Mwandiga, Kigoma baada ya kupatikana na hatia ya kumshambulia Askari wa Usalama Barabarani, baadae alikata rufaa kupinga hukumu hiyo na akaongezewa tena miezi mingine.
Kupita mtandao wa Twitter, Mbunge wa Kigoma mjini, Zitto ameandika
Nashukuru sana kuwa Diwani wetu @ACTwazalendo
amerudi uraiani. Mahakama Kuu Kanda ya Kigoma imeona adhabu ya kuongeza kifungo mpaka mwaka na siku 2 haikuwa halali. Tutaendelea na hatua za kimahakama kufuta rekodi ya jinai ya Diwani wetu. @officialbabalev
karibu tuendelee na kazi
Pia soma
Baba levo alihukumiwa kwenda jela Miezi mitano Agosti 01, 2019 na Mahakama ya Mwanzo Mwandiga, Kigoma baada ya kupatikana na hatia ya kumshambulia Askari wa Usalama Barabarani, baadae alikata rufaa kupinga hukumu hiyo na akaongezewa tena miezi mingine.
Kupita mtandao wa Twitter, Mbunge wa Kigoma mjini, Zitto ameandika
Nashukuru sana kuwa Diwani wetu @ACTwazalendo
amerudi uraiani. Mahakama Kuu Kanda ya Kigoma imeona adhabu ya kuongeza kifungo mpaka mwaka na siku 2 haikuwa halali. Tutaendelea na hatua za kimahakama kufuta rekodi ya jinai ya Diwani wetu. @officialbabalev
karibu tuendelee na kazi
Pia soma
Msanii wa Bongo fleva na Diwani wa kata ya Mwanga, Clayton Chipando (Baba Levo) amehukumiwa kifungo cha miezi mitano jela
Msanii wa Bongo Fleva na Diwani wa kata ya Mwanga, Manispaa ya Kigoma Ujiji, Baba Levo amehukumiwa kifungo cha miezi mitano jela kwa kosa la kumshambulia Askari wa Usalama Barabarani, hukumu maalum kutoka mahakama ya Mwanzo Mwandiga. Zaidi, soma... Kigoma. Diwani wa Mwanga Kaskazini...
www.jamiiforums.com
Kigoma: Diwani wa ACT Wazalendo, Clayton (Baba Levo) aliyekuwa kakata rufaa, leo kagonga mwamba na kaongezewa Mwaka mmoja
Msanii baba Levo aliyekuwa kakata rufaa ya kifungo cha miezi 5 leo kagonga mwamba baada ya kishindwa rufaa yake na kuongezewa miezi zaidi na kuwa kifungo cha mwaka mmoja. So kwa sheria sio diwani tena Pole sana diwani baba Levo ===== Mahakama ya Hakimu Mkazi Kigoma imemuongezea hukumu Diwani...
www.jamiiforums.com