Bashiru hayumo, Bashiru anaandaliwa wizara fulani kwaajili ya season tu ya vigogoHao vigogo na Bashiri yumo?
Hiiiiii bagosha!
Hata ka emoji kakurukaruka baada ya kumfunga paka kengere fresh tuSijui nikomenti au niache tu
Hahahah!! Kinachofanyika sasa hivi ni mashambulizi ya kushtukiza. Yaani unatokea gafla unamshambulia adui then unapotea...Vigogo wapumulia mashine ni baada ya kupigwa chenga ya tobo huku wakilambwa za uso.
Mara pap vigogo wanachungulia teuzi mara pap vigogo hawaoni majina yao mara pap vigogo wanaanza kuhema kwa kasi mara pap vigogo leo usingizi hawapati.
Ni nomaa yaani mama bhana.
Hivi wakuu ulishawai kuihisi ile presha wakati wakati wakuangalia matokeo ya NECTA form four. Ile presha vipi, vigogo wanaijua vizuri ngoja wakomenti.
basi naweka.Hata ka emoji kakurukaruka baada ya kumfunga paka kengere fresh tu
💃💃💃💃💃💃Basi tu mama hajawakera aidha wanamuunga mkono, kama magufuli walimshindwa na alikuwa kaimiliki serekali 100% na kakaa madarakani zaidi ya miaka 5, sembuse mama hata mwezi hajamaliza madarakani mnaanza kusema kawamudu!
Bashiru hayumo, Bashiru anaandaliwa wizara fulani kwaajili ya season tu ya vigogo
Kawamudu, itakuwa mfumo wa wahusika huo wamenadilishiwa vituo vya kazi...kwisha hbrBasi tu mama hajawakera aidha wanamuunga mkono, kama magufuli walimshindwa na alikuwa kaimiliki serekali 100% na kakaa madarakani zaidi ya miaka 5, sembuse mama hata mwezi hajamaliza madarakani mnaanza kusema kawamudu!
Sidhani! Nafikiri rais aliyepita alikuwa na chawa wanaomgeuka na kutoa siri. Mama hana hai na mambo yake sio ya kupayuka.Lile dokezo la afande ndo matokeo yake haya. Password na nywira za mafaili ya siri ni ngumu kusambaaa
Siku wakiteuliwa msije kulialia, Mmetangulizwa tu maana saivi wakiwekwa kelele zitakuwa kubwa.
Vigogo kama vigogo ni mwendo wa kujambaaaaaaa mayaiNi jeshi la mtu mmoja lile.
Vigogo wanajijua wamo humuhumu wanajisomea koment
Sawa mkuuVigogo wanajijua wamo humuhumu wanajisomea koment