Kigogo yupi anamiliki Jengo hili?

Kigogo yupi anamiliki Jengo hili?

Katibu Mkuu wa Wizara anawambia wafanyakazi wa NHC (shirika ambalo lipo chini yake) kuna kigogo anajinufanisha na jengo fulani. Yeye katibu Mkuu tayari ana hizo taarifa na madaraka anayo (au anaweza kumshauri Waziri/ Rais) badala ya kurekebisha ufisadi huo anawaambia wafanyakazi walio chini yake ili wafanye nini????

Hapa lipo tatizo. Nadhani huyo muheshimiwa anatakiwa kujiondoa kazini mapema. Ila najua hawezi kujaribu kwani walioshindwa ni wengi sana akiwemo na Boss wao!
 
...........stupid Tanzanian leaders!! mtu ni mtendaji mkuu wa wizara husika (katibu mkuu), NHC ipo chini yake, anajua kuna officer NHC anafanya mafyongo na anamjua huyo mtu, unasema kwenye media kuna kigogo wa NHC anafanya this and that....is that all he can say and do on the matter? he better kept quite because that aint mean anything to rectify the issue!!!!! ni matatizo ya kulindana na kujilinda! dare to something heroic!! mtoa mada nae atafute contacts za Rutabanzibwa amuulize!

Hiyo ndiyo Tanzania, zaidi ya unavyoijua. Na bado watu kibao akiwemo malaria sugu wanaendelea kumpigia debe Kikwete na CCM ili kuwapa nafasi nyingine ya kuwekeza mabilioni watakayokula hadi vitukuu. Hapo ndo ujue ni kiasi gani watanzania tumefilisika kifikra. Kikwete alisema asilimia 75 ya watanzania hawana uwezo wa kufikiria, ni bendera fuata upepo, na Mkapa akasema watanzania ni wavivu wa kufikiria.
Kwa hiyo tunayaona haya yote na bado viongozi wenye mamlaka nao wanakimbilia media hawana uwezo wa kuact, na sisi tunayeambiwa bado tunawashangilia, basi ni burudani tupu.
 
Hiyo ndiyo Tanzania, zaidi ya unavyoijua. Na bado watu kibao akiwemo malaria sugu wanaendelea kumpigia debe Kikwete na CCM ili kuwapa nafasi nyingine ya kuwekeza mabilioni watakayokula hadi vitukuu. Hapo ndo ujue ni kiasi gani watanzania tumefilisika kifikra. Kikwete alisema asilimia 75 ya watanzania hawana uwezo wa kufikiria, ni bendera fuata upepo, na Mkapa akasema watanzania ni wavivu wa kufikiria.
Kwa hiyo tunayaona haya yote na bado viongozi wenye mamlaka nao wanakimbilia media hawana uwezo wa kuact, na sisi tunayeambiwa bado tunawashangilia, basi ni burudani tupu.

Hapa ndipo ninapomfagilia Mheshimiwa Kikwete yaani katika uongozi wake hakuna aliyoko nyuma ya pazia. Ukiiba utaanikwa tu hata uwe waziri mkuu haaa haaaa haaa. Lowasa is paying for that. Halindwi mtu hapa kigogo mzee Hemed uchi. pengine aliko anahaha kujisafisha hatasafishika ng'ooo. nimependa hii long term strategy ya kuumaliza ufisadi.
 
Inatisha sana. Katibu mkuu wa wizara analalamika kuwa kuna kigogo sijui anafisadi shirika. Kama hawezi kuchukua hatua, nani atafanya hivyo? Au tuaminishwe kuwa Katibu mkuu hana mamlaka hayo?
Wakuu,

Mwenyekiti wa bodi ya NHC anateuliwa na Rais ... Ruta alichofanya ni kumshauri waziri, ambaye alimshauri Rais kuhusu nini kinatokea pale ..... and that was long time ago; hivyo tunachokiona sasa hivi ni frustrations tu ... and there is nothing else he can do on this.
 
Pengine naye anafaidika nalo, maana asingeshindwa kumchukulia hatua na kumwajibisha ilihali yeye ndo kingunge wa shirika hilo
 
Mkuu did you mean nani anajinufaisha na jengo hilo?Otherwise umeshasema linamilikiwa na NHC na hivyo basi heading yako kuwa batili....Na badala yake ingekuwa "ni kigogo gani anajinufaisha na jengo hili la NHC" nk

We nawe kwa uchokozi,alikuwa anavutia wapi ili atupate watu wengi...
 
NHC.............whatever the issue is with NHC haitoisha hata kwa kubadilisha wakurugenzi kila siku.Tatizo tulilonalo ni sera mbovu pale inapokuja mambo national ownership!!we are so stupid,us......yes us who are believing in nationalization.....theres no such a thing,ni kuwafaidisha wachache tu,mfano mzuri angalia tu kwenye hizo national houses who are the beneficiaries of huu mradi??majorityni wao wenyewe.Angalia mashirika yote ya serikali lipi linanafuu??ATC,TANESCO.......mwisho wasiku mzigo wote tunabeba walipakodi!!!!!Bora huyo anayefaidika na hilo gorofa japo naona kalipaka rangi na halijachakaa kivile kama yale mengine....bara auziwe tu.
I DONT BELIEVE AND I OPPOSE NATIONAL OWNERSHIP!!!
 
Wakuu zangu,
Huyu jamaa yetu Patrick Rutabanzibwa ni mchap[a kazi na Mzalendo kupita kiasi yaani mumtazame kama alivyo..Kama sikosei kabla ya hapa alikuwa wizira ya mambo ya ndani, siku aloondoka ilifanyika party watu wakapata kupumua. Sijui kama mnakumbuka pia ktk sakata la mkataba ya IPTL...
 
Kwa ninavyomfaham Mheshimiwa Patric Rutabanzibwa huyo kigogo hayuko salama kabisa.

Haswaaaa.... Patrick ni mnywanywa mweingine; na mpaka amesema hivyo, ujue kazi imeshaisha! Nina imani kubwa kwamba hata lile sakata la Lukuvi ametoa mchango wake mzuri tu
 
Hapa ndipo ninapomfagilia Mheshimiwa Kikwete yaani katika uongozi wake hakuna aliyoko nyuma ya pazia. Ukiiba utaanikwa tu hata uwe waziri mkuu haaa haaaa haaa. Lowasa is paying for that. Halindwi mtu hapa kigogo mzee Hemed uchi. pengine aliko anahaha kujisafisha hatasafishika ng'ooo. nimependa hii long term strategy ya kuumaliza ufisadi.

kweli JF kiboko
 
Back
Top Bottom