Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Gazeti la Mwananchi la leo linaripoti ya kuwa kigogo mmoja wa Tanesco amesababisha hasara ya mamilioni ya fedha baada ya kupuuzilia mbali ushauri wa kitaalamu wa wadogo zake kazini ambao ni mafundi na hivyo kusababisha jiji la Dar maeneo mengi kuwa gizani kutokana na transformer kuungua.............