Kweli upepo wa Kinana unavuma kwa kasi ya ajabu.... Aliyekuwa mhimili wa CHADEMA kwenye uchaguzi 2010 kwenye kampeni za ubunge Ilemela na Nyamagana ndg.Milton Lutabana ameamua rudi CCM.. Sababu CHADEMA hakina sera wala mipango ya kuwaletea maendeleo wananchi ni porojo na fujo tu.
Karibu Mwana mpotevu. Rudi kwa baba yako.
Umelaaniwa wewe na huyo kipopo njaa wako. Namshukuru Mungu kenge wameanza kujitoa kwenye msafara wetu.
Waje wajenge taifa lipi wakati lilishawashinda siku nyingi leo miaka 51 ya uhuru hilo taifa mnalolijenga ni lipi au la mafisadi?Karibu nyumbani,
Waite na wenzako muje mjenge taifa
Wewe uko nchi gani? Kinana mwizi wa pembe za ndovu amekiri kwamba saruji inaweza shuka bei wakitoa kodi zenu za wizi mlizoziweka pale unabisha nini WEZI WAKUBWA NYIE IYENA YA BABA YENU HAMUIMBI TENA 2015 HAMNA KUIBA KURA TENAKaribu ccm chama imara chenye sera zinazotekelezeka iyena iyena 2015 ....saruji mfuko 5000 kiwanda cha mjomba wako.
Kweli upepo wa Kinana unavuma kwa kasi ya ajabu.... Aliyekuwa mhimili wa CHADEMA kwenye uchaguzi 2010 kwenye kampeni za ubunge Ilemela na Nyamagana ndg.Milton Lutabana ameamua rudi CCM.. Sababu CHADEMA hakina sera wala mipango ya kuwaletea maendeleo wananchi ni porojo na fujo tu.
.wewe uko nchi gani? Kinana mwizi wa pembe za ndovu amekiri kwamba saruji inaweza shuka bei wakitoa kodi zenu za wizi mlizoziweka pale unabisha nini wezi wakubwa nyie iyena ya baba yenu hamuimbi tena 2015 hamna kuiba kura tena
sera zinatekelezeka? Ndio maana mnashangilia kutengenezwa barabara wakati ni haki ya kila mwananchi kupatiwa huduma muhimu hivi hiyo miaka 51 mlikuwa mnakuna nazi tu
saccosheri wewe umegundua mapema cdm ni mari ya mbowe slaa na mtei wengine wote wapiga kelele karibuni sana kwenye chama cha amani.
Ili jembe ndiyo lilisababisha Dialo kushindwa ubunge. Ni pigo kubwa kwa Chadema Ilemela.
ome
Karibu ktk chama cha wenye hekima na waliopewa kibali na Bwana wa majeshi ,achana na masonic movement ambazo ndani yake ibilisi amejibanza ,karibu ccm huku ni nidhamu na kulijenga taifa tunatumia muda mwingi kufanya kazi sio kuandamana na kuilaumu serikali bila kujituma
ili jembe ndiyo lilisababisha dialo kushindwa ubunge. Ni pigo kubwa kwa chadema ilemela.
alikua nani huyo? Semeni alitimiza wajibu gani uganga ama upishi? Maana kwenye mikakati na majukwaani hakuwahi kuonekana huyu........