Wacha warudi CCM,Chadema kitasimama imara daima
Hao waliotoka huko acha warudi hukohuko chadema ni kizazi kipya
Upuuzi mtupu, eti kigogo
na kinara chadema, vibaraka wote watajiondoa wenyewe. Chadema itaendelea
kuimarika kila kukicha
Kweli upepo wa Kinana unavuma kwa kasi ya ajabu.... Aliyekuwa mhimili wa CHADEMA kwenye uchaguzi 2010 kwenye kampeni za ubunge Ilemela na Nyamagana ndg.Milton Lutabana ameamua rudi CCM.. Sababu CHADEMA hakina sera wala mipango ya kuwaletea maendeleo wananchi ni porojo na fujo tu........
Karibu Mwana mpotevu. Rudi kwa baba yako........
.mbona baadhi ya sera za chadema ccm imezichukua kwa manufaa ya umma kama katiba mpya, kushusha bei kwa vifaa vya ujenz, n.k ila sera zote hizi huzioni? Ama kweli wanaccm mmepigwa upofu kama ilivyo kwa mfalme falao wakati hule, hata hivyo mfa maji haishi kutapa tapa....