Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
Ni Lameck Airo mbunge wa Rorya kupitia CCM ametoa milioni 60 kuhakikisha CCM inashinda kiti cha udiwani kata ya Kirumba jijini Mwanza.Zinatumika kwa rushwa na kununua shahada za kupigia kura.Lameck ni mfanyabiashara maarufu na anamiliki pia hoteli ya kifahari hapa Kirumba ijulikanayo kama La Kairo Hotel.
Yote hayo ni kwa ajili ya kuidhibiti CHADEMA.
Nawasilisha.
Yote hayo ni kwa ajili ya kuidhibiti CHADEMA.
Nawasilisha.