Kwa taarifa za uhakika nilizopata Mtunza Hazina wa Wilaya ya Mbozi toka CCM anahamia CDM leo mchana, kila kitu kiko tayari imebaki kwenda kumkaribisha mbele ya wanachama mchana wa leo.
Jamani who is "Kigogo" kwenye siasa? It seems everyone it titled Kigogo when defecting from Magamba
Masanilo hapa imetumika lugha ya picha zaidi "Kigogo ni kipande cha mti" na CCM ni mti unaotegemea kuisha mda si mrefu kwa sababu vigogo vingi vinachomokaJamani who is "Kigogo" kwenye siasa? It seems everyone it titled Kigogo when defecting from Magamba
Kwa taarifa za uhakika nilizopata Mtunza Hazina wa Wilaya ya Mbozi toka CCM anahamia CDM leo mchana, kila kitu kiko tayari imebaki kwenda kumkaribisha mbele ya wanachama mchana wa leo.
Kwa taarifa za uhakika nilizopata Mtunza Hazina wa Wilaya ya Mbozi toka CCM anahamia CDM leo mchana, kila kitu kiko tayari imebaki kwenda kumkaribisha mbele ya wanachama mchana wa leo.