JamboJema
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 1,143
- 209
To me Mtunza hazina wa wilaya is one hell of a kigogo, too!Jamani who is "Kigogo" kwenye siasa? It seems everyone it titled Kigogo when defecting from Magamba
To me Mtunza hazina wa wilaya is one hell of a kigogo, too!Jamani who is "Kigogo" kwenye siasa? It seems everyone it titled Kigogo when defecting from Magamba
Mkuu nimefurahishwa sana hilo jibu ulilotoa limeenda shule, neno kigogo is a relative term tunaweza kumuita JK ni kigogo akiwa Tanzania lakini akikutana na viongozi wa G20 anakuwa kama kikuni tu.Jamani suala kuwa ni kigogo au si kigogo inategemea uko wapi, huko vijijini hata Mtendaji wa kijiji ni sawa na Mungu mtu, anakamata, anatoa hukumu hadi kufunga au kufungua mtuhumiwa. Kwahiyo kwa ngazi ya Wilaya, huyo ni kigogo. Mnasahau namna ambavyo wenyeviti wa CCM wa mikoa wanavyopiga makofi hadi askari? huo ndiyo ukigogo wenyewe.
Jamani who is "Kigogo" kwenye siasa? It seems everyone it titled Kigogo when defecting from Magamba
Jamani who is "Kigogo" kwenye siasa? It seems everyone it titled Kigogo when defecting from Magamba
Wapi Shitambala Sambwee, huko alipo nadhani kuna mfaa zaidi.
Jamani who is "Kigogo" kwenye siasa? It seems everyone it titled Kigogo when defecting from Magamba
Jamani who is "Kigogo" kwenye siasa? It seems everyone it titled Kigogo when defecting from Magamba
Rejao nae siku ya Ijumaa aliyopanga kuhamia CDM tutamwita kigogo kwa muda...
Mchungaji Masanilo, hako ni kagogo! Nafurahi zaidi kusikia hawa wadogowadogo wakitoka huko na kuja huku, hawa ndio muhimu maana ndio wale wanaokusanya wale wanaopanda ya malori kuja kwenye mikutano ya magamba!
Rev. Masanilo (japo umestaafu),
Kwangu mimi kigogo ni kiongozi wa ngazi yoyote ndani ya CCM, kuanzia balozi mpaka huko juu. Unajua mabalozi, wenyeviti wa mitaa, vitongoji na vijiji ndio watekelezaji wakuu wa wizi wa kura kwenye ngazi za huko chini. Hawa viongozi wa wilaya na kupanda juu kazi yao huwa ni kuagiza.
Kwa hiyo hao viongozi wakitumika vizuri wanaweza kutoa details zote za namna ambavyo kura huwa zinaibiwa. Unakumbuka wale wazee walioshikwa na masanduku ya kura 1000 kule Arumeru? Unaweza kukuta wote ni mabalozi au viongozi wa ngazi za vijiji na vitongoji.
Kwangu kiongozi yeyote wa CCM ambaye anashiriki kwenye vikao vya kubaka demokrasia ili waibe kura, ninamuona ni "kigogo" na ana msaada mkubwa kuliko hata hao viongozi wa juu ambao huwa hawahusiki na utekelezaji wa wizi wa kura.
Off Topic: Masanilo umeamua kustaafu u-Rev ili ubuni mradi kama wa Mchungaji Ambilikile Mwasapile a.k.a Babu wa Loliondo? ... LOL