Kigogo amegeuka chinjachinja kwa ukwimwi.

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,107
18,323
attachment.php



KIGOGO AMEGEUKA CHINJACHINJA KWA UKWIMWI.


Waziri wa chi ofisi ya Rais, Hawa Ghasia amewatakahadharisha vijana wa kike wanao ajiriwa serikalini kuwa makini kutokana na kuwepo kwa kigogo anayewaambukiza ukimwi kwa makusudi.

Waziri amesema, kila mtumishi mpya anyeajiriwa anamdaka na anajua kabisa ameathirika na anaamua kuwa chinjachinja.

Amekuwa mtu wa kuwadaka wasichana wageni wanaoajiriwa,na kuwaambukiza ukimwi. Dada zetu Jihadharini na huyu chinjachinja, bado tunawahitaji.
Source: Mwananchi 23th dece 2010 ,ukurasa wa 15.
 
Huyu naye ni mropokaji tu kama sophy, hivi akiulizwa athibitishe ataweza? na kwa nafasi yake kama waziri anaweza kweli kutamka upupu kama huu? inawezekana ni kweli wapo but i dont kama ni fair ku-declare publicly namna hio au na yeye alipitiwa na huyo kigogo? basi tutaoa waathirika tupu au kaona keki yake inanyemelewa na vibinti vichanga...sasa yeye ameshakua zilipendwa bana, mwanamm gani atatoka na mwamk kajitanda namna ile? mmmh
 
Heeeey,MMU siku hizi ni sehemu ya udaku na picha za kijeshi?
kweli pame vamiwa huku
 
uhhh ...nilidhani ni my Kigogo ambaye mpaka saa hii bado yupo jela......sasa huyu waziri akishitakiwa kwa kunyanyapaa atamlaumu nani.....mbona anakuwa kama hajaenda skuli
 
Huyu naye ni mropokaji tu kama sophy, hivi akiulizwa athibitishe ataweza? na kwa nafasi yake kama waziri anaweza kweli kutamka upupu kama huu? inawezekana ni kweli wapo but i dont kama ni fair ku-declare publicly namna hio au na yeye alipitiwa na huyo kigogo? basi tutaoa waathirika tupu au kaona keki yake inanyemelewa na vibinti vichanga...sasa yeye ameshakua zilipendwa bana, mwanamm gani atatoka na mwamk kajitanda namna ile? mmmh

hawa ndoo viongozi wetu
 
sasa kama anamjua,kwanini asimtaje?so it means naye anamkingia kifua?!ndivyo viongozi wetu wa kweli wanavyotujali???
 
Heeeey,MMU siku hizi ni sehemu ya udaku na picha za kijeshi?
kweli pame vamiwa huku

Wanaoleta udaku ndio wamevamia. hapa tunaongea mambo ya msingi yanayo jenga jamii katika usawa, haki, na maadili. Ukitaka udaku ipo sehemu yake.
 
Huyu naye ni mropokaji tu kama sophy, hivi akiulizwa athibitishe ataweza? na kwa nafasi yake kama waziri anaweza kweli kutamka upupu kama huu? inawezekana ni kweli wapo but i dont kama ni fair ku-declare publicly namna hio au na yeye alipitiwa na huyo kigogo? basi tutaoa waathirika tupu au kaona keki yake inanyemelewa na vibinti vichanga...sasa yeye ameshakua zilipendwa bana, mwanamm gani atatoka na mwamk kajitanda namna ile? mmmh


.........hapo kwenye red mmmhhhhh!!!!!!!
 
sasa kama anamjua,kwanini asimtaje?so it means naye anamkingia kifua?!ndivyo viongozi wetu wa kweli wanavyotujali???

Hawa ndio wale mawaziri wanaoteuliwa kwashinikizo la mke wa mkulu na sio kwa uwezo. Kuwabebabeba huku ndio kunawafanya wawe wanalopoka hovyo mambo hata yasiyo na maana ili mradi nao waonekane wapo!! Kama anamjua huyu chinjachinja kwanini asimtaje ili hao wasichana anaotaka kuwalinda wamfahamu badala ya ya kumficha, hao walengwa watamjuaje?
 
attachment.php



KIGOGO AMEGEUKA CHINJACHINJA KWA UKWIMWI.


Waziri wa chi ofisi ya Rais, Hawa Ghasia amewatakahadharisha vijana wa kike wanao ajiriwa serikalini kuwa makini kutokana na kuwepo kwa kigogo anayewaambukiza ukimwi kwa makusudi.

Waziri amesema, kila mtumishi mpya anyeajiriwa anamdaka na anajua kabisa ameathirika na anaamua kuwa chinjachinja.

Amekuwa mtu wa kuwadaka wasichana wageni wanaoajiriwa,na kuwaambukiza ukimwi. Dada zetu Jihadharini na huyu chinjachinja, bado tunawahitaji.
Source: Mwananchi 23th dece 2010 ,ukurasa wa 15.



Anajiumauma nini si amtaje watu tumjue? Au keshamchakachua na yeye ndiyo maana hataki kumsema?
Hizo promotion wanaopewa wenyewe sijui kama walipona.
 
Kwani ile sheria ya makosa ya kuambukiza HIV kwa kusudi si ilishapitishwa? kwanini wasichukue hatua badala ya kuwa kama mamba asiye na meno?
 
Kwani ile sheria ya makosa ya kuambukiza HIV kwa kusudi si ilishapitishwa? kwanini wasichukue hatua badala ya kuwa kama mamba asiye na meno?


Hawakuipitisha kwa sababu na wao ingewabana. Mwenye VVU lini kapitisha sheria inayomshtaki mwenyewe?
 
Hawa ndio wale mawaziri wanaoteuliwa kwashinikizo la mke wa mkulu na sio kwa uwezo. Kuwabebabeba huku ndio kunawafanya wawe wanalopoka hovyo mambo hata yasiyo na maana ili mradi nao waonekane wapo!! Kama anamjua huyu chinjachinja kwanini asimtaje ili hao wasichana anaotaka kuwalinda wamfahamu badala ya ya kumficha, hao walengwa watamjuaje?

Ina maana Mzee Mkapa alikuwa na nyumba ndogo huko Ntwala? Maana huyu uwaziri wake ulianzia enzi za Che Nkapa? Nkwele kamsili tu.
 
Ama kweli, kiswahili ni lugha yetu ya Taifa lakini wengi bado wanafikiri kwa lugha zao za kikabila au lugha "mama".

Hawa Ghasia, hakumlenga mtu fulani. Hasha, ila kaongelea kinasaha na kuwa-asa kina dada wajichunge na "kigogo".

Sidhani kama hilo lina mjadala.
 
Hawakuipitisha kwa sababu na wao ingewabana. Mwenye VVU lini kapitisha sheria inayomshtaki mwenyewe?


Sheria ilishapitishwa toka 2008 kinachosubiriwa ni Regulations za kuitekeleza hiyo sheria.Regulations hizo zinaandaliwa na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa kushirikiana na wadau wengine... kama kuna mtu wa Wizara basi atoe updates wamefikia wapi.
 
Ama kweli, kiswahili ni lugha yetu ya Taifa lakini wengi bado wanafikiri kwa lugha zao za kikabila au lugha "mama".

Hawa Ghasia, hakumlenga mtu fulani. Hasha, ila kaongelea kinasaha na kuwa-asa kina dada wajichunge na "kigogo".

Sidhani kama hilo lina mjadala.

Kumbuka kuwa Hawa Ghasia ni kiongozi tena waziri. Hatuwezi kuwa na mawaziri wasio wawajibikaji namna hii.Hakuwa na sababu ya kusema kitu kama hicho bila kutoa suluhisho. Ama sivyo angemtaja ili watu wajue ni nani wamwepuke. Pili inawezekana si habari ya kweli alitaka tuu kupata credit eti ni mfatiliaji wa mambo yanayo wahusu wafanyakazi wa sirikali lakini kachemka kwa hiyo strategy.
 
Ama kweli, kiswahili ni lugha yetu ya Taifa lakini wengi bado wanafikiri kwa lugha zao za kikabila au lugha "mama".
Hawa Ghasia, hakumlenga mtu fulani. Hasha, ila kaongelea kinasaha na kuwa-asa kina dada wajichunge na "kigogo".
Sidhani kama hilo lina mjadala.
"Waziri wa chi ofisi ya Rais, Hawa Ghasia amewatakahadharisha vijana wa kike wanao ajiriwa serikalini kuwa makini kutokana na kuwepo kwa kigogo anayewaambukiza ukimwi kwa makusudi. Waziri amesema, kila mtumishi mpya anyeajiriwa anamdaka na anajua kabisa ameathirika na anaamua kuwa chinjachinja."

Hapo ni nani hajui kiswahili, sisi, walioandika kiswahili, Hawa Ghasia au wewe?????
 
uhhh ...nilidhani ni my Kigogo ambaye mpaka saa hii bado yupo jela......sasa huyu waziri akishitakiwa kwa kunyanyapaa atamlaumu nani.....mbona anakuwa kama hajaenda skuli

Siyo wote wanaoenda skuli wanaelimika..
 
Back
Top Bottom