Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,107
- 18,323
KIGOGO AMEGEUKA CHINJACHINJA KWA UKWIMWI.
Waziri wa chi ofisi ya Rais, Hawa Ghasia amewatakahadharisha vijana wa kike wanao ajiriwa serikalini kuwa makini kutokana na kuwepo kwa kigogo anayewaambukiza ukimwi kwa makusudi.
Waziri amesema, kila mtumishi mpya anyeajiriwa anamdaka na anajua kabisa ameathirika na anaamua kuwa chinjachinja.
Amekuwa mtu wa kuwadaka wasichana wageni wanaoajiriwa,na kuwaambukiza ukimwi. Dada zetu Jihadharini na huyu chinjachinja, bado tunawahitaji.
Source: Mwananchi 23th dece 2010 ,ukurasa wa 15.