Kigogo amegeuka chinjachinja kwa ukwimwi.

Kumbuka kuwa Hawa Ghasia ni kiongozi tena waziri. Hatuwezi kuwa na mawaziri wasio wawajibikaji namna hii.Hakuwa na sababu ya kusema kitu kama hicho bila kutoa suluhisho. Ama sivyo angemtaja ili watu wajue ni nani wamwepuke. Pili inawezekana si habari ya kweli alitaka tuu kupata credit eti ni mfatiliaji wa mambo yanayo wahusu wafanyakazi wa sirikali lakini kachemka kwa hiyo strategy.

Ndio walewale, naona kiswahili kinakupiga chenga! Pole sana, waswahili hunena "asiye-elewa maana, haambiwi maana".
 
mbona mmemu-attach Bi Hawa badala ya hoja yake!!; any way Serikali ni kubwa sana inakuwaje huyo mtu anapata wasichana wote wanaoajiriwa serikalini? na ni kigogo gani serikalini ambaye Hawa anamuogopa kumtaja maana yeye ni waziri juu yake kuna Rais na Waziri Mkuu kwa maana ya Itifaki!, Kwanini Hawa hasi-deal na source ya tatizo "huyo mzee/Kigogo" amwambie aache au amstaki kwa Rais au Hawa ana maaanisha nini hapa? au la Hawa amstaki kwa Waziri Mkuu kulikoni? Hatari Hawa umekuwaje tena? Hawa anathibitisha kuwa hajui cha kufanya mapenzi ni sehemu muhimu sana ya Binadamu sasa kama hajawaambia hawa mabinti huyo Mtu hajasaidia maana watatongozwa na waendelea nae wakidhani siye aliyefumbwa na Hawa.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom