Ndugu nilitaka nikae kimya lakini nimeona niseme tu, kwa ninavyojua mimi great thinkers hawawezi kufuatilia kazi za wasanii hawa wa bongo movie ambazo nyingi zinaandikwa, kuandaliwa na watu wenye upeo mdogo sana wa kufikiri na maarifa, hivyo ukimpelekea mtu anae think outside the box ataishia kudharau na kukaa kimya, haziwez kuongoza akili kubwa kwa kuifikirisha au kuifunza kwa sababu zipo hovyo hovyo, ndo maana mkuu mmoja hapo juu amechangia kwa kusema ye huwa kwake anaziangalia hosegirl wake, bongo movies ""wanaigiza huku wanaigiza na wanaigiza hovyo hovyo""