Kigodoro-kantangaze

Kantangazeeeeeeeeeeeee.
Ubahatike mama Abdul na Baharia Mwogo Mchungu ndo wawe wazazi wako,da balaaa!!Mangi wa dukani alikula sound mpaka akakoma ubishi,kasheshe alipoweka bond viatu vya mbishi,hahahaaaa....
 

Hahahaaaa, mashavu ya juu yamekushuka ya chini je?....yani hicho kipande nakipenda, wamemchamba na kipigo juu wamempa.
 
Usije sahau wasome wote, burudani huwa wanazipata toka kwa wasiosoma, wenye upeo mdogo kama unavyosema....

1. Cheki bongo fleva, wengi hawana shule, lakini kutwa kucha tunaburudishwa nao

2. Cheki msaga sumu anavyokusanya watu

3. Cheki muziki wa dansi, almost wote ni LY
 
tena uta enjoy sana kuna sehemu muhogo mchungu anaiba sukari ya mke wake then mama sikujua ndiyo mke wa muhogo anatokea,jinsi anavyomkung'uta mkono na anaulamba yaani hapo napo ni balaa kabisaaa

Lol, mi ananchekesha vile anavijichekesha km zuzu. Mama sikujua km dume lile sauti lake.
 
kucheza kama kapooza ina maana yake pale,
kwamba ni aina ya wanawake wanaopelekeshwa na marafiki.
 

Yani napenda sana hiki kipande maana mama sikujua alikua mdogo na mdomo wako uliisha
 
neno "kantangazeee" lina maana gani,?. nimetokea kukerwa na namna linavyotamkwa kwa jeuri na kejeli,nini tafsiri yake?
 

Ni moja kati ya filamu nzuri za Bongo, kwenye kuigiza wamepatia kweli...
 
iko poa sana hii filamu yani huwezi kuboreka ukiiangalia, wale wa uswazi ndo tunaenjoy zaid, riyama, mama sikujua, muhogo mchungu wamenikoshaa.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…