Mkapa is my role Model, in reality ameongea mabo ya msingi sana ambayo watanzania wa sasa hatuyatazami na wala hatuyafikirii.
Mkapa kasema kuwa tumebaki siku zote kulalamika tu,
1. Hakuna aliyekuja na utafiti kuonysha kwa nini ubinfsishaji umeshindwa tunapiga mayowe, wazungu husema no research no right to speak.
2. Mkapa kasema pia mamlaka iliyopewa hii sera ya ubinafsishaji hakutumia muda wake kumobolize wananchi ili waelewe dhana ya ubinafsishaji ili wananchi wajiandae kwa mitaji na elimu ili kuintergrate hii dhana kwa vitendo. akatoa mfano mobilization ya vita ya ID amin ilivyokuwa mobilized na wananchi kushiriki kwa kujitolea. Yeye kama Rais kazi yake kutoa chagizo na baadaye mamlaka husika kusimamia.
3. Pia Mkapa amezungumzia kuhusu vusion ya 2025 aliyoiacha ambayo mimi na wewe hakuna aliyeshaisoma, ambayo hii imeeleza kuwa Taifa hili mpaka muda huo linatakiwa kuwa Taifa la namna gani, na hii inahitaki uelewa kwa wananchi ili watekeleze kwa vitendo, lakini sasa tumekuwa walalamishi na wachakachuaji. Mfano alitoa kiwanda cha Nyumbu kilitengeneza powertllars ambazo hazikuwa na uwezo wa kulima au kutumika katika maeneo mengi hii ni kutikana na kufanya utafiti ambao hauendani na hali halisi ya mazingira. Poor in technology and innovation.
4. Pia kasema lazima tuwe na independence integrity, yaani baada ya miaka 50 lazima tuwe na haya
-food security tuwe na uwezo wa kuzalisha wenyewe chakula cha kutosha na siyo kwenda kuomba kwenye mashirika ya kimataifa kama OXFARM n.k
-tuwe na uwezo wa kutumia kile tunachozalisha lakini pia lazima tuwe na uwezo wa kutumia tekinohama. coz kama hatuna uwezo bado ubinafsishaji utakuwa hauna maana kwetu. mfano gas mikoa ya kusini, kama hatuna technologia hatuwezi kuchimba gas hivyo bado itatulazimu kuleta wawekezaji kutoka nje.
-lazima applicabl education na siyo elimu ya nadharia.
lazima tuwe na strategy na outline za Taifa .
Mh. Mkapa kasema mengi sana ya msingi ambayo watu waliokuwepo kwa ukweli walikuwa wakimshangilia kwa makofi kwa jinsi alivyokuwa anaelezea mambo kwa ufasaha. ki ukweli hata prof. Shivji alionyesha kumkubali.
My take what i see here ni kwamba Mh. Mkapa alikuwa na vision nzuri sana na taifa hili lakini time ndiyo ilikuwa shida na type ya mtu aliyemwachia madarka ndo shida zaidi.
Right angebaki madarakani hadi sasa real kwa jinsi tulivyokuwa tunakwenda kiuchumi tungekuwa mbali na uchumi ilikuwa unakuwa kweli.
Let don't blame our President he did alot of his best together with his weakness la haki yake tumpe. si kama Mkwe.re ambaye anazurura duniani.
Mh. Makapa kama uko humu nakwambia kuwa mimi i still love you forever for the whole of my life time i will be in this World.
Katika maisha yangu tangu nipate akili sijawahi kumwona kiongozi yeyote poa akawa na mafanikio katika uongozi kunzia primary mpaka sasa naona level ya rais. Kiongozi serious like Mkapa is the most of them wamekuwa na succesfully leadership na maendeleo.