PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 9,097
- 29,885
Hilo eneo ni Bora utembee usiku Tu maana tochi zake nahisi zinapigwa na majini au wachawiDodoma - Singida - Nzega napo ni balaaa….ukitoboa hicho kipande hujashikwa una Bahati. Napenda kukipita usiku juzi nimejidai kupita mchana nimedakwa sehemu tatu tofauti khaaaa…...mpaka Sekenke wapo tena siju wankaaa juu ya miti maana ile picha nilicheki nakacheka kwanza ilibidi niwe mpole kibao cha 30 nashuka zangu na 65 sina muda……...imepigwa kama zile za jiographia ……. topographical sijui