WanaJF wa kigamboni
Naomba niwape mkasa ulionipata najua BUTCHER nyinyi za nyama wanaiba mwingine karibia 50gm, 100gm, hata 200gm. Kwa KIGAMBONI FERRY kuna Butcher kama 4 au 5 kama sijakosea.
Katika butcher hizo nimewai kununua kwenye butcher 2 na zote nimeibiwa.
BUTCHER ya kwanza nilienda kununua 2kg kufika nyumbani mama akaniambia hii sio 2kg
Nikarudi baada ya wiki mbili kununua tena 2kg kufika nyumbani kupima 1.5kg
Wiki iliyopita nikaenda kwenye butcher ya pili nikanunua 3kg alipomaliza kupima akanikatia nikamwambia toa sahani zote kwenye MZANI WAKE WA DIGITAL pima tena, kupima ikasoma 2kg 600g
WIZI HUU WA KIGAMBONI FERRY UNAFANYIKA HIVI
Wote wanatumia mizani ya DIGITAL anakuwa na visahani viwili vya kupimia nyama vya kuwekea juu ya mzani wa digital, kisahani kimoja kipo sawa kingine ndio kina uzito wa 400g mpaka 500g
ONYO: WANAKIGAMBONI NAJUA MKIWA MNATOKA MAKAZINI POSTA NA KWINGINEKO MNAPITIA KITOWEO PALE FERRY KUWENI MAKINI
Naomba niwape mkasa ulionipata najua BUTCHER nyinyi za nyama wanaiba mwingine karibia 50gm, 100gm, hata 200gm. Kwa KIGAMBONI FERRY kuna Butcher kama 4 au 5 kama sijakosea.
Katika butcher hizo nimewai kununua kwenye butcher 2 na zote nimeibiwa.
BUTCHER ya kwanza nilienda kununua 2kg kufika nyumbani mama akaniambia hii sio 2kg
Nikarudi baada ya wiki mbili kununua tena 2kg kufika nyumbani kupima 1.5kg
Wiki iliyopita nikaenda kwenye butcher ya pili nikanunua 3kg alipomaliza kupima akanikatia nikamwambia toa sahani zote kwenye MZANI WAKE WA DIGITAL pima tena, kupima ikasoma 2kg 600g
WIZI HUU WA KIGAMBONI FERRY UNAFANYIKA HIVI
Wote wanatumia mizani ya DIGITAL anakuwa na visahani viwili vya kupimia nyama vya kuwekea juu ya mzani wa digital, kisahani kimoja kipo sawa kingine ndio kina uzito wa 400g mpaka 500g
ONYO: WANAKIGAMBONI NAJUA MKIWA MNATOKA MAKAZINI POSTA NA KWINGINEKO MNAPITIA KITOWEO PALE FERRY KUWENI MAKINI