Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,657
- 8,591
Tena ukae ukijua "Mimi ndio mimi"."They are nobody" wallah wewe ni mwendawazimu! Baki na upoyoyo wako
Tena ukae ukijua "Mimi ndio mimi"."They are nobody" wallah wewe ni mwendawazimu! Baki na upoyoyo wako
Huyo ng'ombe wenu wa kulimia kaua wengi sana. Asiogope kufa."Ukitaka kujua nia ovu iliyopo, kwa mujibu wa sheria mtuhumiwa akikamatwa na Polisi akapelekwa kituo cha Polisi ana haki ya kutembelewa na ndugu zake, kupelekewa chakula na kutembelewa na Mawakili. Mwenyekiti akiwa Oysterbay Polisi walikataza kuonana na familia yake."
"Familia inapeleka chakula, Polisi wanapokea, familia haimwoni mwenyekiti. Polisi wanampelekea chakula mwenyekiti bila yeye kujua nani ameleta, maana yake usalama wa mwenyekiti wetu tutaudai mikononi mwa Jeshi la Polisi."
"Mwenyekiti amekula chakula ambacho hajui nani amekileta. Kwa mujibu wa sheria za Polisi na Magereza kama mtu ameletwa chakula lazima aliyeleta aonekane na aonje mbele ya Polisi na mbele ya mtu aliyeletewa, kuwa kipo salama. Wamezuia ndugu, anayeonja chakula ni nani?
"Watu waliokamatwa wapo Mburahati, Buguruni, Sarenda, Polisi Kati na maeneo mbalimbali wamekataza ndugu zao na mawakili wasiwaone na ndugu zao wakipeleka chakula wanapokea Polisi na kuwapa chakula, tunajuaje usalama wa chakula ambacho kinabaki mikononi mwa Polisi?"" - Benson Kigaila
Hahahaaaa majizi tu nyie, wewe ndio wewe nani kapuku tu wewe! Hustahili hata kujibiwa na MimiTena ukae ukijua "Mimi ndio mimi".
Yeah! Jiulize wewe usie na faili Mirembe ulifeli wapi hadi mwenye faili Mirembe akaongoza nchi!
Mwisho wake kilimpata nni
Akili iliyochanganyika na haja kubwa hiiKitimoto hata kama haujui ni nani aliyeleta huwa tunakula tu, huo ni utaratibu dunia nzima
Baada ya kushindwa kumdhibiti ikiwa ni pamoja na kumnunua wameamua kumuua kabisaWanatumia nguvu nyingi sana kupambana na mbowe
Ccm ni wahuni wa karneBaada ya kushindwa kumdhibiti ikiwa ni pamoja na kumnunua wameamua kumuua kabisa
Labda anakula kwa sabab anawaamin wanaompa hicho chakulaKwa nini na ye amekula, si anajua utaratibu wa magereza.?