Kigaila: Mbowe amekula chakula ambacho hajui nani amekileta

Juzi nilitoa post kushauri kwamba mbowe akishaachiliwa na hizo
mamlaka.

Ufanyike mpango, atafute hifadhi ya ukimbizi wa kisiasa ng'ambo.

Kwasabab kama hizi.nikasema usalama wake u shakani.
tusisubri matatzo yatokee.

Lema na lisu wamefanya hivyo.hawa si wajinga.

Wote wamedai serikali iwahakikishie kwanza usalama wao ndio watue nchini.

Ikiwa tunakubaliana nao kwa hoja wanazozitoa,kwanin mwenyekiti asishauriwe nae akapumzike usalamani.

Mapambano ni popote.
lema na lisu wote ni political refugees na wanatambulika hivyo kwny nchi zilizowapokea.

Kuwa ughaibuni hakujawafunga midomo, wanaendesha harakati wakitokea leuven na ottawa
 
"Watu waliokamatwa wapo Mburahati, Buguruni, Sarenda, Polisi Kati na maeneo mbalimbali wamekataza ndugu zao na mawakili wasiwaone na ndugu zao wakipeleka chakula wanapokea Polisi na kuwapa chakula, tunajuaje usalama wa chakula ambacho kinabaki mikononi mwa Polisi?"" - Benson Kigaila
Labda imelazimika chakula kipelekwe kwa mkemia mkuu kuona kama kiko salama. Wabaya wa nchi yetu wanaweza kupenyeza sumu kwenye vyakula madhara yakitokea lawama ziiangukie Polisi na serikali. Nadhani polisi wameiona hekima hiyo.
 
"Ukitaka kujua nia ovu iliyopo, kwa mujibu wa sheria mtuhumiwa akikamatwa na Polisi akapelekwa kituo cha Polisi ana haki ya kutembelewa na ndugu zake, kupelekewa chakula na kutembelewa na Mawakili. Mwenyekiti akiwa Oysterbay Polisi walikataza kuonana na familia yake."

"Familia inapeleka chakula, Polisi wanapokea, familia haimwoni mwenyekiti. Polisi wanampelekea chakula mwenyekiti bila yeye kujua nani ameleta, maana yake usalama wa mwenyekiti wetu tutaudai mikononi mwa Jeshi la Polisi."

"Mwenyekiti amekula chakula ambacho hajui nani amekileta. Kwa mujibu wa sheria za Polisi na Magereza kama mtu ameletwa chakula lazima aliyeleta aonekane na aonje mbele ya Polisi na mbele ya mtu aliyeletewa, kuwa kipo salama. Wamezuia ndugu, anayeonja chakula ni nani?

"Watu waliokamatwa wapo Mburahati, Buguruni, Sarenda, Polisi Kati na maeneo mbalimbali wamekataza ndugu zao na mawakili wasiwaone na ndugu zao wakipeleka chakula wanapokea Polisi na kuwapa chakula, tunajuaje usalama wa chakula ambacho kinabaki mikononi mwa Polisi?"" - Benson Kigaila
Ni jeshi la hovyo kabisa
 
Kukaa kimia ni busara ,kuliko kuonyesha usivyo na akili mbele za watu , alikwbia wakuonja chakula hakuepo nani? Umembiwa hata ndugu kuwaona Jamaa zao hawarusiwi, utaratibu wa ovyo kabisa na kinyume Cha taratibu, ipo siku mtu atakuja fia mikoni wa police, akadhulika mikononi wa police ,ndo utakumbuka kuandika ujinga wako apa
Chizi kama huyo unakuta amepewa elfu 5
 
Maslahi ya majizi? Maslahi ya nchi gani? 60yrs hakuna la maana mmefanya! NARUDIA labda NIFE ila kama mtapata MSIBA nitawajibu kwa dhihaka tena twice then nisikie mnalalamika
Bahati mbaya wakifa wazazi wako hatutajua kwasababu "they're nobody".
 
Ni Mama yako mzazi au?

Ahaaa unamsaliti Mama yako choka mbaya ambaye maskini aliyetopea unamsifia Mama wa wenzako

Mpendezeshe Mama yako kwanza
Kwa sasa napendezesha kaburi lake. Na nina uhakika lina gharama kubwa kuliko nyumba wanayoishi wazazi wako uliyowajengea.
 
Gaidi huwa hatembelewi Wala hapelekewi Chakula sababu kubwa magaidi wenzake wanaweza kutumia nafasi hiyo kufanya Yao si unajua wanaweza kujilipua wakaua na wengine?

Sheria ya Ugaidi ni noma tena yeye wamemuhurumia sana kumbuka Magaidi wengine Duniani wanavyofanyiwa.
 
Siku ile pale mwanza baada ya askof na wenzio kuachiwa aliitisha kikao na waandishi wa habari, akasema mkuu wa Mkoa kama sikosei wilaya mjinga anaekataza watu kukutana, akasema anaetaka kukamata mtu yoyote amkamate yeye! Kadakwa kama alivyoomba, anapozwa na sakafu huku mnalia mtandaoni.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom