Kifuani nina mzigo wa hasira na kisasi, mgoni wangu kuwa makini

Kiongozi kuna uwezekano MUNGU kakuongoza uje hapa. Utapata mawazo mazuri tu. Nakushauri hizo hasira ulizomuwekea mgoni wako zoooote zipeleke kwa hasira kuu kwenye kusaka pesa. Jitahidi kuumiza kichwa uwe na hela. Msahau kabisa mgoni na mkeo.

Vyote vimefanyika ksbb tu huna hela ya kutosha mkuu.

Kulipiza kisasi kutakupeleka sehemu mbaya. Nakuhakikishia ukimsahau na kusamehe kabisa,utakuwa umewashtakia kwa MUNGU. Watateswa na MUNGU
Af wala it's not about pesa.
Kwamba matajiri wana ndoa imara?

Mapenzi yakiisha yameisha.
Yanachipua kwingine unaumia unaendelea na life.
Usizidi kummaliza the little pride he has left with as a man and a human being.
 
Nimeelewa, na hakitampata kitu chochote kibaya kama kisasi chake hakitahusu uhai wa watesi wake.

Awape shurba tu kama anayoipata yeye.
Maumivu ya mapenzi hayana replacement.
Fact that inamuumiza, itamuuniza mpk atakapoamua kupona.
 
Af wala it's not about pesa.
Kwamba matajiri wana ndoa imara?

Mapenzi yakiisha yameisha.
Yanachipua kwingine unaumia unaendelea na life.
Usizidi kummaliza the little pride he has left with as a man and a human being.
Fanya uwe na mwanamke mkali halafu usiwe na uwezo,utajua tu ninachomaanisha
 
Mgoni wangu umenivunjia ndoa yangu alafu unanitukana et nimuache mwanamke niliyemlipia mahari kumzalisha na kumpendezesha!!???

Mzigo nilikua nao kifuani kukutoa roho siwezi maana sitorizika Ila ntaka nikutese huku nakuangalia ili iwe fundisho kwako na kwa washenzi wenzio waliozoea kugonga wake za watu kwa dharau.

Na wife wangu ujiangalie sitokuacha Hivi Hivi you will pay for it.

Mimi na Watoto wangu hawawezi teseka alafu watesi wao wakala Bata tuu.

Mkuu

Pole sana

Naamini unaumizwa na mazoea

Mazoea uliyonayo juu ya huyo unayeimwita mkeo

Jitahidi hayo mazoea uyaweke kwenye kitu kingine

kabisa. Angalia watoto wako halafu fikria kwa kina

unachotaka kukifanya, kabla ya kuhitimisha!

Kumbuka huyo mbilimbi ndiyo mama wa watoto

wako, hakuna mwingine zaidi ya huyo mbilimbi...

Kama una hela jipe safari kidogo, kamata manzi

muzuriiiii akupe shughuli fulani ya kibabe...

Utamsahau huyo mbilimbi anayekupa headache

kwa sasa...

Shukrani!
 
Ukiwa unajiandaa kufanya hayo unayotaka kufanya,uwe pia unaandaa namna watoto wako watakavyoishi wewe utakapokuwa ukinyea debe.Usitubebeshe mzigo sisi ndugu zako kwasababu ya uzinzi wa mkeo na upumbavu wako.
 
Wala sio kazi dada angu.
Umri huu nimeishi na ku experience vingi mno.niliacha kucheza muda kidogo so i wouldnt no one to play me
Sasa wewe ulishacheza ukamaliza, unajuaje nae zama zake inawezekana ndio muda wa kucheza....
We differ, katika makosa 100 nnayoweza kumuacha mme wangu kipenzi cheating ni kosa la mia likitanguliwa na mengine 99...nikutakie mchana mwema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom