Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,007
- 5,446
Mgoni wangu umenivunjia ndoa yangu halafu unanitukana eti nimuache mwanamke niliyemlipia mahari kumzalisha na kumpendezesha!
Mzigo nilikuwa nao kifuani kukutoa roho siwezi maana sitoridhika Ila nataka nikutese huku nakuangalia ili iwe fundisho kwako na kwa washenzi wenzio waliozoea kugonga wake za watu kwa dharau.
Na wife wangu ujiangalie sitokuacha hivi hivi you will pay for it.
Mimi na Watoto wangu hawawezi teseka halafu watesi wao wakala bata tuu.
Mzigo nilikuwa nao kifuani kukutoa roho siwezi maana sitoridhika Ila nataka nikutese huku nakuangalia ili iwe fundisho kwako na kwa washenzi wenzio waliozoea kugonga wake za watu kwa dharau.
Na wife wangu ujiangalie sitokuacha hivi hivi you will pay for it.
Mimi na Watoto wangu hawawezi teseka halafu watesi wao wakala bata tuu.