Sasa mkubwa mimi sijajuwa vigezo vinavyotumika kwa Raisi kwenda kuzika, mimi huwa naonaga tu anakwenda kuzika sijawahi kujuwa kwamba anawasaidiaga matibabu. By the way huwa anasaidia matibabu toka kwenye hela zake binafsi au serikali? Na je kwa jibu lolote hapo juu ningependa kujuwa vigezo ili hawa wasanii wa huku vijijini nao watumie hii fursa, who knows labda huyu bwana Kalembo angeweza kupona.