SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,616
- 7,863
nimekusoma! Ila hii mada ina 'utata' sana...hasa kutokana na uchaguzi wako wa jukwaa!Ahahahaaah!!! Nilimaanisha wale waliokufa natural death.
nimekusoma! Ila hii mada ina 'utata' sana...hasa kutokana na uchaguzi wako wa jukwaa!Ahahahaaah!!! Nilimaanisha wale waliokufa natural death.
nimekusoma! Ila hii mada ina 'utata' sana...hasa kutokana na uchaguzi wako wa jukwaa!
Ungepeleka kule kwenye elimu au sayansi.Sikujua jukwaa lipi ni muafaka kwa mada hii.
Are you sure mkuu? Hebu mkanyage mende sawa sawa uone kama atakufa miguu juu
Si amesha jibu ni kifo cha kukanyagwa?
Mende "wanakufa" vile kwa sababu "wanasikia raha" kufa vile
Are you sure mkuu? Hebu mkanyage mende sawa sawa uone kama atakufa miguu juu
hahahahahaha hebu niende zangu
Kifo cha kukanyagwa ni tofauti...