technically JF-Expert Member Joined Jul 3, 2016 Posts 13,554 Reaction score 57,846 Jul 3, 2025 #1 Bado Nina mashaka na kifo chake Alikuwa mtia Nia urais 2025
M Mkumbwa Jr JF-Expert Member Joined Mar 23, 2016 Posts 2,702 Reaction score 3,834 Jul 3, 2025 #2 Nani achunguze? Uchunguzi wa mtu aliyefia kitandani unataka ufanywe na nani wakati waliopigwa risasi na kutekwa uchunguzi bado
Nani achunguze? Uchunguzi wa mtu aliyefia kitandani unataka ufanywe na nani wakati waliopigwa risasi na kutekwa uchunguzi bado