Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Sisi kwetu katika uislamu,hilo wala haliwi tatizo kwa sababu watoto halali wenye kurithi ni hao wa mke wa ndoa tu.Na mirathi ni kitu kinachotakiwa kufanyika haraka mara baada ya kifo.Jukumu la kuwa na vimada wengi atabeba mwenyewe marehemu.
analibebaje wakati kashakufa?