Aiylan wasalan
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,384
- 3,263
No Reforms Ni Election
si umesema hupendi vya dezo wewe, haya lipia nikusimulieHii ndio mida yangu ya kulala:
Mtakao bahatika kuisoma hadithi mtanisimulia kesho:
Nimesha lipia mbona:si umesema hupendi vya dezo wewe, haya lipia nikusimulie
Nimeshalipia haya nisimulie sasa:si umesema hupendi vya dezo wewe, haya lipia nikusimulie
Hahaha sasa si umemlipa msimuliaji?? nilipe na mimi niwe msimuliaji wako hahahNimeshalipia haya nisimulie sasa:
kwahiyo umechora mstariiKelele za nin si mpigane tuone. Sijataja mtu
Ila ww ni mchonganishi konk😅😅😅😅Kelele za nin si mpigane tuone. Sijataja mtu
Atakae uvuka m babe😅😅kwahiyo umechora mstarii
Na utashindia alostoNimelala na alosto nimeamka na alosto......laifu
Kafungiwa na maimuna huko rest houseNa utashindia alosto
We jamaa unapenda sana ligi:Hahaha sasa si umemlipa msimuliaji?? nilipe na mimi niwe msimuliaji wako hahah
Ngoja amkaushe damuKafungiwa na maimuna huko rest house
Mwenyekiti Daudi1 changamkia fulsa hii tupate ela yakunywea ulanzi😅😅We jamaa unapenda sana ligi:
Pale juu umesema nikulipe ili unisimulie:
Ndio nakuuliza unataka nikulipe kiasi gani ili uifanye hiyo kazi, badala ya msimuliaji?
We sema tu utalipwa: