Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 14,563
- 22,839
Au sio, kwahiyo ni sandakalawe😂😂😂bado nipo kwenye uchaguzi kati ya Tumwesige senior kijana mpole Mani Fabian na muheshimiwa mwenyekiti Daudi1
Au sio, kwahiyo ni sandakalawe😂😂😂bado nipo kwenye uchaguzi kati ya Tumwesige senior kijana mpole Mani Fabian na muheshimiwa mwenyekiti Daudi1
Haniwezi huyo kijanaNaona unamuita muhasimu wako
Mbona mm nimetulia zang na ww mwenyekiti naenjoy kula mali za wanakijiji, hao wengine ata wasikusumbueAu sio, kwahiyo ni sandakalawe
sandakalawe wapi wakati mmewe anajulikanaAu sio, kwahiyo ni sandakalawe
kijana gani tenaHaniwezi huyo kijana
unasemaaa?Mbona mm nimetulia zang na ww mwenyekiti naenjoy kula mali za wanakijiji, hao wengine ata wasikusumbue
sina mshindani jimbo ni languNaona unamuita muhasimu wako
Safi sana kama umefurahi, ndio maisha yanavyotakiwa kuwa:
Ingawa hujatuambia umemchagua nani kati ya walio tia NIA:
Kwa jina lako unaonekana kabisa kuwa wewe ni Pisi Kali kama Jessenia
Na Abou Shaymaa anapita km hatuoni vileHapa arosto nyingi nimeamua kusoma "nyuma ya mlango wa adui". Uraibu wangu huu yaan ndan ukija utafikiri mimi mwalimu mavitabu, majarida, magazeti kama yote
Labda majukumu tusimlaumu bure tatizo lake ni kukaa kimya kama vile hajui chochoteNa Abou Shaymaa anapita km hatuoni vile
hata mi nakuona mahabuba wangu,umeshindaje babe wangu miana amorTumwesige senior nakuona
Kumbe na wewe unamjuasandakalawe wapi wakati mmewe anajulikana
Huyu jamaa bado yuko mazoez tu huko macho4??Kumbe na wewe unamjua
weeee kumbe uko kwa Deusi Frank Nyati(kaka dereva)Hapa arosto nyingi nimeamua kusoma "nyuma ya mlango wa adui". Uraibu wangu huu yaan ndan ukija utafikiri mimi mwalimu mavitabu, majarida, magazeti kama yote
Hahaha atakuwa anaelekea Khamisi kamp na JesseeHuyu jamaa bado yuko mazoez tu huko macho4??
ndioKumbe na wewe unamjua
Au mzee mangeu kamwibia ronja kua jinn ni Ussi?!Hahaha atakuwa anaelekea Khamisi kamp na Jessee