Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,289
Ndibalema, lengo la angalizo ni kuweka shield mapema, wengi humu ni washabiki ama wa vyama, ama wa itikadi, watu tulio neutral ni wachache, ni vizuri kuweka wazi ili wanabodi wasije nihesabu na mimi ni mshabiki wa chama fulani.
Mkuu utaniwia radhi lakini hii post yako stinks of chadema fanaticism (i am not saying it is a bad thing, mbaya ni kutaka watu waaamine vyenginevyo)
hoja ya msingi kwenye post yako ni moja tu kuwa kwa vile ccm na cuf wameungana basi wapiga kura come 2015 hawataona faida ya kuwapigia Cuf kwa vile ni sawa na Ccm tu (hoja ambayo tunaweza kuuita ubashiri ambao una muelekeo kidogo)
kuliko bakia kote hakuna facts na ulipoweka fact basi si fact sahihi (rejelea punguo la ruzuku ya cuf)
inaonekana ziadi ni katika kujikosha kwa vile uliandika post iliyokosolewa vibaya na mkuu wa chadema na sasa umeamua uifagilie kuweka mambo sawa.