annabrenda
JF-Expert Member
- Apr 25, 2013
- 1,142
- 399
mtasubiri sana -CHADEMA kuanguka.
Ccm ilikuwapo, ipo na bado itaendelea kuwepo.
Wanabodi,
Mwananchi anaweza siwe mzalendo ila asiwe adui wa taifa..yaani kwa kuacha tuu kufanya mambo ya kizalendo.Mfano kutoongea kitu mtu akiwadhuru watanzania, kutoumia roho mchi inapoporwa, kutokufanya extra mile kwa ajili ya nchi, kwa ujuml akutoilinda Nchi na Tamaduni zake au hata kusupport mambo ya nchi. ILa raia anaweza kwenda mbali na kuwa adui wa nchi kwa kushiriki kuua uchumi, kuua raia, kutolinda nchi, kushmabulia nchi n ahat kushirikiana na wasio wa nchi kumaliza nchi..Yaani kuisaliti au kuwa ktk jeshi adui.
CCM sasa hivi ni zaidi ya waliokosa uzalendo..ni maadui wa nchi.matendo ya CCM kwa nchi, wananchi, kwa tunu za nchi hii sawa kabisa na mashambulizi ..ni uadui mkubwa kwa nchi yetu.
Bila kuhesabu kila kimoja, kwa kifupi nawakilisha.
namkumbuka Gadafi aliwafanyia mambo mengi mazuri watu wa libya lakini alipoamua kupambana na wanachi wake kwa kuwa walikuwa wanataka mabadiliko sasa hivi sijui kama kuna ukoo tena wa Gadifi Libyasiyo tu wamekosa uzalendo bali wamegeuka kuwa magaidi kwa kupiga watu mabomu na pia kujaribu kutumia mabavu kutawala nchi baada ya wananchi kuwashinda kwa nguvu za hoja sasa wameamua kutumia majeshi na polisi kupambana nao wakitimiza historia ya vyama vyote vinavyoanza kuanguka matumizi ya nguvu kwa sana baada ya kushindwa hoja.
Umedata wewe, huwezi ota ndoto Kama hizi mchana kutwa. Unajidanganya sana CCM haing'oki kamwe kwa mtutu wala kwa maandamano. CCM itaendelea kuongoza kwa miaka 100 ijayo!!!!!! Tafakari chukia CDM
duh ndio maana umekuwa master minder wa mauaji kwa ndoto ya CCM itatawala miaka 100 mpaka sasa mumeanza kutawala kwa mtutu CCM haina legitimacy kambi ya Naliendele MTwara ya jeshi ni ya kutesa wananchi halafu unsema CCM inauhalali wa kutawala,nyamongo huko mumebaki na mabepari kwa mtutu wa bunduki hamna uwezo wa kutawala miaka 100 nyie nje ya kusaidiwa na jeshi na jeshi litashindwa karibuni kama polisi walivyoshindwa na hicho kitakuwa kiama chenuUmedata wewe, huwezi ota ndoto Kama hizi mchana kutwa. Unajidanganya sana CCM haing'oki kamwe kwa mtutu wala kwa maandamano. CCM itaendelea kuongoza kwa miaka 100 ijayo!!!!!! Tafakari chukia CDM
Zaidi ya kujisifu wawekezaji wawekezaji hawana lolote hakuna cha Big result now,wala,kilimo kwanza,wala elimu nambari moja, maneno maneno maneno tu mpaka lini maendeleo kwa CCM ni sawa na mbingu na ardhi hata kuweka miji safi tu kutengeneza mfumo wa maji taka mijini ni ndoto za abunuasi
Zaidi ya kujisifu wawekezaji wawekezaji hawana lolote hakuna cha Big result now,wala,kilimo kwanza,wala elimu nambari moja, maneno maneno maneno tu mpaka lini maendeleo kwa CCM ni sawa na mbingu na ardhi hata kuweka miji safi tu kutengeneza mfumo wa maji taka mijini ni ndoto za abunuasi