Kifo cha CCM kimetimia

Kifo cha CCM kimetimia

WanaCCM Kaaeni mkijua kwamba wananchi wa Tz si Vilaza wenu!
Mmeuza Nchi na kukumbatia rasilimali zote kwa manufaa yenu mkijua hatuoni! Ardhi mmetapanya hadi mali iliyopo! Serikali yenu kuu imeagiza mkong'oto kwa Raia na mali zao. Nendeni kwanza mjisafishe kwa hzo dhambi za Ng'ombe hamsini mlioua kumaskinisha mwenye ng'ombe! Ila kwa MUNGU ALIYE HAI HUYO MWENYE NG'OMBE HATAKUA MASKINI. Bali nyie ndo mtakua maskini wa Milele! Aliyeagiza ifanywe na aliyefanya Laana i juu yenu!
Ccm imekusudia kununua bunduki kwa ajili ya kuua raia wasio na hatia pamoja na Ng'ombe! WANANCHI WENZANGU TUUNGANE TUONDOE HUYU NDULI KATIKA MAMLAKA YOTE YA NCHI YETU!
SHINDWA CCM SHINDWA PEPO!
 
Aisee nimefikia sehemu mbaya sana ya kuichukia CCM! nilikuwa hainiingii akilini nikiona watu wakijitoa mhanga kwa kujilipua huko Palestine na kwingineko kumbe ni maudhi na uonevu dhalimu km huu unaofanywa na CCM. Haki na nanai tena tunakoenda huko si shwari tena, waziri mkuu anahimiza Polisi kupiga raia, basi LIWALO Na liwe tuu, CCM inanuka damu, imeua vya kutosha sasa tuiondoe tu madarakani
 
Ukweli mtupu:watu wa arusha wanaitaka chadema wanaishi wakiiamini chadema mioyo yao inaongozwa na chadema,wanaipenda chadema huwaambii kitu kingine dhidi ya chadema.wanaiamini chadema, chama tawala arusha ni chadema.serikali ikikubali hilo arusha ni mahali salama kuliko ikulu,


hatutaogopa vitisho vya poliisi wala mabomu,bunduki,maji ya kuwasha tutaendelea kudai haki zetu hata kwa damu zetu,

aluta continua,,, mapambano ndo kwanza yameanza.
 
Ndio plan ilivyokuwa baada ya kuona chadema wataanguka baadhi ya kata ikabidi plan b itumike watu walipuliwe kura za huruma zipigwe na ushindi urudi chadema. Ingekuwa aibu sana kama chadema ingepoteza kata hata moja arusha. Ikabidi maarifa yatumike kuiokoa chadema hata kwa damu ya baadhi ya watu. Hivi hamjui kuwa chadema ikifa arusha na moshi biashara yao ndio imeishaaa?
 
Bila shaka polisi watarusha mabomu tena pale CDM watakapokuwa wanasherehekea ushindi!!
 
Ndio plan ilivyokuwa baada ya kuona chadema wataanguka baadhi ya kata ikabidi plan b itumike watu walipuliwe kura za huruma zipigwe na ushindi urudi chadema. Ingekuwa aibu sana kama chadema ingepoteza kata hata moja arusha. Ikabidi maarifa yatumike kuiokoa chadema hata kwa damu ya baadhi ya watu. Hivi hamjui kuwa chadema ikifa arusha na moshi biashara yao ndio imeishaaa?
Huu ni wivu wa kike uliosheheni harufu ya uharo!!
 
Ccm ndani ya Arusha ni sawa na Taifa stars ndani Santiago benabeu.

Nani kakudanganya? Tumeshachoka hilo lichama linaotaka kuuvuruga utali wa arusha. Mtabakia na wajinga wasio elewa dunia iinaendaje
 
Aisee nimefikia sehemu mbaya sana ya kuichukia CCM! nilikuwa hainiingii akilini nikiona watu wakijitoa mhanga kwa kujilipua huko Palestine na kwingineko kumbe ni maudhi na uonevu dhalimu km huu unaofanywa na CCM. Haki na nanai tena tunakoenda huko si shwari tena, waziri mkuu anahimiza Polisi kupiga raia, basi LIWALO Na liwe tuu, CCM inanuka damu, imeua vya kutosha sasa tuiondoe tu madarakani

Na Ulimwengu nzima iseme hivo!
Tumuondoe Adui shetaniCCM!
 
Kila mtu ajiandikishe kwenye dafutari .na kila mtu sasa hivi awe maskini jeuri.ukipewa pesa chukua ni haki yako ,lakini linda kura kwa chadema na piga kura kwa chadema.mambo yote yanayotkea sio kwamba ni bahati mbaya hapana .mungu ana sababu ya kuikomboa hii nchi .sasa ndio umefika ule muda .mwam

bie dada yako ,mama yako,bibi yako ,kaka yako shangazi yako.alete kadi ya ccm tuzichome moto sasa hivi ,mungu ibariki tanganyika
 
Nani kakudanganya? Tumeshachoka hilo lichama linaotaka kuuvuruga utali wa arusha. Mtabakia na wajinga wasio elewa dunia iinaendaje

mamdogo ccm ilikufa cku nyingi ikazikwa nyie mliobaki ni vinindiliza mumbu kwa lugha ya kwetu huku.
 
ni ukweli mchungu kwa cvm.leo nimeshuhudia kijana akimpa ukweli mzee wa ccm.kijana huyu aliongea kama vile anasoma comments za wanaJf.
 
Back
Top Bottom