Kifo cha CCM kimetimia

Msiichague ccm tena, mkitaka "uhuru na ukombozi" wa kweli
 
Ukilinganisha limbukeni wa CCM wanavyoshindwa sera Za kugawa mapato ya nchi na kubaki kujigawia ukwasi kwa njia mbalimbali unaweza ukapata uchizi ghafla hasa ukilinganisha na mtanzania wa chini kabisa kijijini
 
Haa haa lini serikali hìi ya ccm inaenzi wazee? Ulizia wazee wa iliyokuwa jumuiya ya afrika mashariki, wameishia wapi? Kuna walimu wastaafu walikuwa wakifundisha kwa mkataba, pesa yao ya kumaliza mikataba yao imetafunwa na wajanja, na hao wezi wako toka hazina mpaka mawilayani. Wakihangaika kufuatilia wanaambiwa cheki zilishatoka siku nyingi, wajanja wamelamba! Ndani ya serikali hii ya ccm kila mfanyakazi wa umma anatafuta nafasi ya kudhulumu! Ccm ni janga kwa taifa!
 
CCM imeanguka ni ndoto ambayo leo naiota mara 5,nimeota Imeanguka Ktk Uchaguzi Mkuu Huu Wa Oct 2015,imesimamisha Mgombea Asiye na Political Charisma Hadi ikashindwa,ccm iliyoshindwa kulinda maisha ya albinos wanauawa as if wanaishi ktk kisiwa cha peke yao kisicho na serikali,ccm imeifanya Tanzania Kuwa Taifa La Ajabu Kuliko Yote Duniani,taifa Wa Washirikina,ushirikina Kila Kona,ushirikina Hadi Bungeni,vijana Hawana Dira Yoyote Ya Maisha,imeua Makampuni,viwanda,thamani Ya Tsh Imeporomoka Kwa Zaidi Ya %200 Ktk Miaka Kumi Iliyopita,serikali Ombaomba,ni Miaka 53 Ya Uhuru Taifa Lipo Kwenye Sifuri Kila Kitu Hadi Msaada,taifa Linasaidiwa Hadi Vyandarua,hii Ni Zaidi Ya Aibu,kwa Heri CCM Oct ndo mwisho wako.
 
Kwa kwa kwaaaaa!!! Mkajiandikishe na mkapige kura sasa. Sio mnasema tu na hampigi kura. Tunawazika rasmi mwaka huu hawa wezi
 
Nchi ambayo rais anategemea ulinzi wa sheikh yahaya haya ndo matokeo yake. Hata sheikh yahaya inategemea nguvu za albino. Nasikia lowasa kawekeza kuua albino kwa ajili ya kuusaka urais
 

r. I. P. Ccm..
 
ccm chama cha kichovu sana! yaani kinaburuzwa na mtu kama chenge ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…