Ndugu watanzania wenzangu,poleni na tukio la kusikitisha lililo tokea kule arusha,ni ukweli usiopingika,kwa mtanzania yoyote mwenye kumbukumbu nzuri tangu 1995 kulipo kuja chama cha nccr mageuzi,kuna kakitengo kalia nzishwa,na ccm kua kikisha kana vunja nguvu ya mh mrema,na chama chake cha nccr mageuzi,kitengo hiki kilikuja na demo ya chama cha wachaga,nakumbuka ziliwekwa video za kuonyesha machafuko na vita ya wenyewe kwa wenyewe kule rwanda na burundi,watanzania tukaambiwa majukwaani tusichague upinzani kwa kua chama chaupinzani yaani nccr kitaleta vita,kwa kweli watanzania wakakubali kulishwa dhambi hiyo,baada ya uchaguzi,na ccm kupata ushindi wakubwa wakakutana na kupongezana kwa kazi nzuri walioifanya na kukipatia chama ushindi,tukaja 2000 cuf kikapata nguvu,ccm kikawa alikalika,tena wapiga zumari wake apawakaja na demo mpya,cuf ni chama cha kidini wakiwalenga waislam,hapa napo chama kikafanikiwa kwa mara nyingine kuwalisha sumu watanzania,wakubwa wakakutana tena na kupongezana,kwa kazi nzuri na kukipatia chama ushindi,tukaja 2005 kasheshe lili anzia kwenye chama kumpata mgombea urais wa ccm,hapa lika zaliwa,genge linaloitwa wana mtandao,hapa ilikua kila anayeonekana ni hatari kwa bwana mkubwa nilazima achafuliwe,nazani wengi mnafahamu,mipasuko ndipo ilipoanza ndani ya ccm,sumu ikaanza kuwa tafuna wenyewe,hapa wanamtandao baada ya kumpata mtu wao,waka kaa chini watoke vipi kwa watanzania bara,wakaja na slogan ya [maisha bora kwa kila mtanzania] huku bara slogan iliwa levya kweli kweli,ngoma ikawa zanzibari,wanamtandao waka hamia znz na kuendelea kukishugulikia cuf,hapa cuf kikaongezewa jina chama cha kiislam na kigaidi,hapa napo wakafanikiwa kuwalisha sumu watanzania,kivumbi ikawa 2010,wanamtandao walifanya kazi ya ziada kumnasua bwana mkubwa,maana slongan yao ya [maisha bora]iligonga mwamba,sasa hapa chadema ilisha anza kukubalika,naweza kusema dozi ya sumu ilizidishwa watanzania wakanywa kama kikombe cha babu wa loliondo,chadema ni chama cha kidini kikabila na kikatoliki,hapa napo wakapenya kwa taabu sana,kama kawaida wakapongezana,bila kujua madhara ya sumu hii,sasa matunda yake ndio haya,sasa hivi kameundwa kakitengo cha itikadi na uenezi,hapa hutamkuta kpt,nape wakisaidaina na kibajaji nchemba,na new poison,kwa chadema ni chama cha ukanda ukabila na ugaidi,na vyombo vya ulinzi na usalama vinawa chekeatu,wakizidi kuligawa taifa,kwa maslai ya ccm,leo nchimbi anasema serikali aitawavumilia wanao wagawa watanzania,kwanza kabisa vyombo vya usalama vianze na nape mwigulu na kibajaji,na wanamtandao,kisha chama kitubu kwa dhambi hii,vinginevyo hatuta wahelewa,mnaibomoa tanzania kwa mikono yenu wenyewe na kusingizia vyama vya upinzani,ccm mtubu mtubu,msipo tubu dhambi hii itawatafuna,