Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
Kuna tetesi nimezipata kuwa kile kifimbo cha mwalimu nyerere kakabidhiwa mbowe na mama maria nyerere na kwamba jeykei amekasirishwa sana na kitendo hicho lakini mama maria amesema hayo ndio maagizo aliyoachiwa na mwalimu.Kuna yeyote anaejua kuhusu jambo hili?