Cha ajabu pesa hazikutaarifu lini zitakutembelea na mara paap uhenga/uzee huu hapa, ndipo kulia na kusaga meno kwa kauli ya "vunja mifupa meno bado iko" utapoielewa Ke anataka umpelekee moto ila umri nao....Labda kama pesa zinamjia kiulaini laini. Lakini kama ni kidume wa mipango viwili tu inatosha. Ukiona wewe ni mpaniaji pale kati, basi ndugu yangu tafuta hela.
Binafsi huwa siamini kama kuna suala la "fedha kumtembelea mtu" naamini ķatika juhudi, maarifa, determination, uaminifu kwa financial support unayopata kwa lenders na risk taking ndo kutoka kwenyeweCha ajabu pesa hazikutaarifu lini zitakutembelea na mara paap uhenga/uzee huu hapa, ndipo kulia na kusaga meno kwa kauli ya "vunja mifupa meno bado iko" utapoielewa Ke anataka umpelekee moto ila umri nao....