BIG BROTHER ALEX
JF-Expert Member
- Sep 24, 2025
- 1,293
- 2,213
KWA Maduro Venezuela tukasema MMH hakuwa na makubaliano ya kumlinda, tukafunika kombe,
Mmmh HATUJA KAA SAWA mara KHAMENEI hatunae, TENA HUYU walimhakikishia kabisa wakajifanya KUSIMAMA kidete, Kiko WAPI, HAWA JAMAA Nina mashaka na UWEZO WAO KWA KWELI Yani hakuna jaribio walio zuia, ni matamko TU HATA HUYO KIDUKU marekani akiamua anamchomoa TU KWA hali hii inavunja sana MOYO, Siwa AMINI TENA, MAREHEMU MENGI aliwahi KUSEMA OGOPA SANA WATU wanaokwambia WAKO NYUMA Yako mara nyingi ukigeuka huwaoni
Mmmh HATUJA KAA SAWA mara KHAMENEI hatunae, TENA HUYU walimhakikishia kabisa wakajifanya KUSIMAMA kidete, Kiko WAPI, HAWA JAMAA Nina mashaka na UWEZO WAO KWA KWELI Yani hakuna jaribio walio zuia, ni matamko TU HATA HUYO KIDUKU marekani akiamua anamchomoa TU KWA hali hii inavunja sana MOYO, Siwa AMINI TENA, MAREHEMU MENGI aliwahi KUSEMA OGOPA SANA WATU wanaokwambia WAKO NYUMA Yako mara nyingi ukigeuka huwaoni