Kidono/Kinkuti ni kitu gani?

Kidono/Kinkuti ni kitu gani?

Naombeni mnijulishe ....kidono/kinkuti ni kiti gani?
Kuna raia mmoja toka kigoma alikuwa kachanjiwa hizo mambo, na ilikuwa akikasirika anakuwa na nguvu hakuna wa kumshika mpaka wa kigoma mwenzake aje kuna kitu anafanya ndio anatulia.
Siku moja akajichanganya kwa kukiamsha mbele ya chalii mmoja hivi alipigika mpaka leo haamini ilikuwaje alipigwa licha ya kuchanjiwa
 
Kaka mi ninavyo vyote nisaidieni namna ya kuondokana navyo wakuu.

Sio siri hua unafikia wakati mie najiogopa aseee, hua nikifika ugenini najikuta nakua mnyonge, sijichanganyi mahala panapoweza kunipa changamoto, yamenifanywa nikaachishwa mafunzo ya jeshi nateseka sana
Daah nikweli hata mm ninavyo ila vimenisaidia kwamengi sana ukwel nikikasilika ni atal sana.
 
Watu wana dawa acheni niliwahi kufundishwa na master moja wa karate tabora alikuwa na asili ya congo, alikuwa na uwezo mkubwa sana wa kupigana na hakuwa mtu wa kurudi nyuma kama utamuonea,

Sasa kipindi tunakimbia tulipita karibu na kambi ya jeshi tukapigwa mkono , tulikuwa watu 8 na master wa 9, master akauliza shida nini wakati hapa kuna njia na tunapita hapa kila siku, wakajipendekeza Mp wawili wakorofi wakasema sisi tunakutaka ww master , master akasema nyie siwezi kupambana na nyie ila kama mtapiga kati ya vijana wangu wawili hapa basi nitapambana na nyie, mp akacheka kwa dharau,

Akatolewa mkuria moja hivi na mkinga moja hivi walikuwa wanapiga sana mkono maana walikuwa na yule master ndani ya miaka miwili, ngumi zikaanza kupigwa zilipigwa ngumi pale ikabidi wanajeshi wale mp wawili wakazidiwa kuona hali inakuwa mbaya ikapigwa filimbi ya hatari ndani ya dakika 3 tukazingirwa kati,

Mkuu wa kambi akasema akasema kwa nn ugomvi ukatokea hapa na nn chanzo master akasema mkuu naheshimu serikali na napenda amani ila vijana wako ambao ni viongozi wako wa askari wako wamenichokoza na kutaka kuona nguvu yangu ila nimewambia kama mtaniweza pigana na vijana wangu mkiwapiga nitakubali kupambana na nyie ila nikipigwa nitakubali, mara hahaaaaa hohooooo, wanavyopenda sifa.

Wakaulizwa wale mp wakasema ni kweli tulitaka kumpima ili kama ana huo uwezo tuweze kuongea naye,

Akaitwa jamaa moja mjeda ana asili ya uarabu hivi akasema anamtaka master aliwapiga mp wake,

Siku ile ndo niliona aina ya mapigo ambazo hatukuwahi kufundishwa na master , wanajeshi wakataka kuingia wote kupigana na master , pale ndo niliona uchawi wa master alitoa kifimbo fulani kwenye soksi akawanyooshea wale maafande wakaanza kudodondoka chini hovyo na master akatuvuta haraka sana , kesho yake akaenda jeshi na kuanza kufundisha, ikawa mwanzo wa neema na amani
 
Watu wana dawa acheni niliwahi kufundishwa na master moja wa karate tabora alikuwa na asili ya congo, alikuwa na uwezo mkubwa sana wa kupigana na hakuwa mtu wa kurudi nyuma kama utamuonea,

Sasa kipindi tunakimbia tulipita karibu na kambi ya jeshi tukapigwa mkono , tulikuwa watu 8 na master wa 9, master akauliza shida nini wakati hapa kuna njia na tunapita hapa kila siku, wakajipendekeza Mp wawili wakorofi wakasema sisi tunakutaka ww master , master akasema nyie siwezi kupambana na nyie ila kama mtapiga kati ya vijana wangu wawili hapa basi nitapambana na nyie, mp akacheka kwa dharau,

Akatolewa mkuria moja hivi na mkinga moja hivi walikuwa wanapiga sana mkono maana walikuwa na yule master ndani ya miaka miwili, ngumi zikaanza kupigwa zilipigwa ngumi pale ikabidi wanajeshi wale mp wawili wakazidiwa kuona hali inakuwa mbaya ikapigwa filimbi ya hatari ndani ya dakika 3 tukazingirwa kati,

Mkuu wa kambi akasema akasema kwa nn ugomvi ukatokea hapa na nn chanzo master akasema mkuu naheshimu serikali na napenda amani ila vijana wako ambao ni viongozi wako wa askari wako wamenichokoza na kutaka kuona nguvu yangu ila nimewambia kama mtaniweza pigana na vijana wangu mkiwapiga nitakubali kupambana na nyie ila nikipigwa nitakubali, mara hahaaaaa hohooooo, wanavyopenda sifa.

Wakaulizwa wale mp wakasema ni kweli tulitaka kumpima ili kama ana huo uwezo tuweze kuongea naye,

Akaitwa jamaa moja mjeda ana asili ya uarabu hivi akasema anamtaka master aliwapiga mp wake,

Siku ile ndo niliona aina ya mapigo ambazo hatukuwahi kufundishwa na master , wanajeshi wakataka kuingia wote kupigana na master , pale ndo niliona uchawi wa master alitoa kifimbo fulani kwenye soksi akawanyooshea wale maafande wakaanza kudodondoka chini hovyo na master akatuvuta haraka sana , kesho yake akaenda jeshi na kuanza kufundisha, ikawa mwanzo wa neema na amani
Stories za kusukumia muda
 
Watu wana dawa acheni niliwahi kufundishwa na master moja wa karate tabora alikuwa na asili ya congo, alikuwa na uwezo mkubwa sana wa kupigana na hakuwa mtu wa kurudi nyuma kama utamuonea,

Sasa kipindi tunakimbia tulipita karibu na kambi ya jeshi tukapigwa mkono , tulikuwa watu 8 na master wa 9, master akauliza shida nini wakati hapa kuna njia na tunapita hapa kila siku, wakajipendekeza Mp wawili wakorofi wakasema sisi tunakutaka ww master , master akasema nyie siwezi kupambana na nyie ila kama mtapiga kati ya vijana wangu wawili hapa basi nitapambana na nyie, mp akacheka kwa dharau,

Akatolewa mkuria moja hivi na mkinga moja hivi walikuwa wanapiga sana mkono maana walikuwa na yule master ndani ya miaka miwili, ngumi zikaanza kupigwa zilipigwa ngumi pale ikabidi wanajeshi wale mp wawili wakazidiwa kuona hali inakuwa mbaya ikapigwa filimbi ya hatari ndani ya dakika 3 tukazingirwa kati,

Mkuu wa kambi akasema akasema kwa nn ugomvi ukatokea hapa na nn chanzo master akasema mkuu naheshimu serikali na napenda amani ila vijana wako ambao ni viongozi wako wa askari wako wamenichokoza na kutaka kuona nguvu yangu ila nimewambia kama mtaniweza pigana na vijana wangu mkiwapiga nitakubali kupambana na nyie ila nikipigwa nitakubali, mara hahaaaaa hohooooo, wanavyopenda sifa.

Wakaulizwa wale mp wakasema ni kweli tulitaka kumpima ili kama ana huo uwezo tuweze kuongea naye,

Akaitwa jamaa moja mjeda ana asili ya uarabu hivi akasema anamtaka master aliwapiga mp wake,

Siku ile ndo niliona aina ya mapigo ambazo hatukuwahi kufundishwa na master , wanajeshi wakataka kuingia wote kupigana na master , pale ndo niliona uchawi wa master alitoa kifimbo fulani kwenye soksi akawanyooshea wale maafande wakaanza kudodondoka chini hovyo na master akatuvuta haraka sana , kesho yake akaenda jeshi na kuanza kufundisha, ikawa mwanzo wa neema na amani
Kaka sio tangawizi hii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom