Sele Mkonje
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 643
- 844
Habari za jioni
Naomba kwa anayefahamu aniambie ni dawa gani naweza kutumia ili niweze kupona kidonda kilichopo kwenye ulimi. Sio mara ya kwanza kunipata na huwa natumia maji ya chumvi kusukutua kisha kinapona ila baada ya miaka 2 au 3 kinarudi tena. Nisaidieni jamani mana hata chakula sioni ladha yake na pia nimesitisha kisses kwa wife wiki sasa.
Naomba kwa anayefahamu aniambie ni dawa gani naweza kutumia ili niweze kupona kidonda kilichopo kwenye ulimi. Sio mara ya kwanza kunipata na huwa natumia maji ya chumvi kusukutua kisha kinapona ila baada ya miaka 2 au 3 kinarudi tena. Nisaidieni jamani mana hata chakula sioni ladha yake na pia nimesitisha kisses kwa wife wiki sasa.